Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
- Thread starter
-
- #101
tehteh...cant getter better than this...
Naona claudiaeliakimu,usiempenda kaja, wamepumzika sasa,hii shift yako kutetea upuuzi...kwani aliyewatuma hawalipi overtime?...i will be more than humbled to deal with all the ''march madness money mongers''....
hahaha kazi ya kubashiri bado unayo sana!! Umeishiwa hoja sasa unaanza kubashiri bashiri au unaota? Unaonekana we unafanya kazi ya ulinzi ucku ndo mana unalala mchana na kuota ndoto mchana kweupeee!!
tehteh...cant getter better than this...
Naona claudiaeliakimu,usiempenda kaja, wamepumzika sasa,hii shift yako kutetea upuuzi...kwani aliyewatuma hawalipi overtime?...i will be more than humbled to deal with all the ''march madness money mongers''....
hahaha kazi ya kubashiri bado unayo sana!! Umeishiwa hoja sasa unaanza kubashiri bashiri au unaota? Unaonekana we unafanya kazi ya ulinzi ucku ndo mana unalala mchana na kuota ndoto mchana kweupeee!!
acha kuota kijana, au umelewa gongo??!!
ukweli huwa unauma hasa linapokuja suala la kuweka mchanga kitumbua cha watu...nevertheless..lets call a spade a spade....
ukweli huwa unauma hasa linapokuja suala la kuweka mchanga kitumbua cha watu...nevertheless..lets call a spade a spade....
kama imekuuma kunywa sumu ufe sasa.
waambie na wenzio huu ujumbe hapo chini uckie mambo.
fuata link hapo chini
https://youtu.be/xlxom85emu8
maskini...kwanini mnakubali kutumika??...taifa linaangamia kwa kukosa maarifa..
umeona jinsi unavyo angamia eenh! Nadhani ukweli wa mambo umeuckia, na umeuelewa, kilichobaki nywea maji ulale.
jibu swali..kwanini unakubali kuwa mchumia tumbo..kwa unaona aibu kutumia id yako ya siku zote,,,?
mchumia tumbo ni wewe na ukoo wenu huko pamoja na hao waliokutuma, kwani wewe hiyo ni id yako? Nithibitishie hilo.
[FONT="]SEHEMU YA TATU YA [COLOR="#FF0000"]KATIPA [/COLOR]PENDEKEZWA INAAINISHA [/FONT][FONT="]MALENGO YA KIUCHUMI, KIJAMII NA KIUTAMADUNI[/FONT][FONT="] NA INASOMEKA HIVI;
13.-(1) Lengo la Katiba hii kiuchumi ni kujenga uchumi wa kisasa utakaowezesha wananchi na Taifa kujitegemea kwa kuzingatia matumizi ya elimu ya sayansi na teknolojia katika nyanja zote za uzalishaji mali kwa kuhimiza mapinduzi ya kilimo, ufugaji na uvuvi, mapinduzi ya viwanda na kujenga sekta muhimu ya nishati, mawasiliano na miundo mbinu.[/FONT]
KWA KATIPA SAWA LAKINI SIO KATIBA. kura ya HAPANA ipo palepale
Mvivu wa kufikiri nenda darasani ukapigwe msasa ndio utajua maana ya uchumi wa kisasa!
KWAKO WEWE HATUKUSHANGAI KWANI KURA YAKO NDO UNADHANI ITAKWAMISHA MCHAKATO HUU WA KATIBA? LA HASHA UNAPOTEZA MUDA WAKO BUREE NA MB8 zako za kifurushi hizo. Pole sana naona umepoteza network.
kwa katipa tutapika diooooo!!! Lakini kwa katiba pendekezo mpango ni hapana
wewe piga lakini cku ukickia imepita usifute au kubadili hiyo ID yako ya JF, Na naahidi nitakutafuta, lakini ikipita pia unywe sumu ufe ili uondoe aibu itakayokukuta.
wewe piga lakini cku ukickia imepita usifute au kubadili hiyo ID yako ya JF, Na naahidi nitakutafuta, lakini ikipita pia unywe sumu ufe ili uondoe aibu itakayokukuta.
we endelea kujidanganya tuu, ukubwa wa pua sio uwingi wa makamasi wewe, kubwa jinga ndo wewe sasa kama ulikuwa ujui, kichwa kikubwa akili sifuri.id yangu ni sawa na umri wako. So siwezi siifuti na sina sababu ya kuifuta.
Ila wewe usipotelee tu mstuni kama komba