Ndiyooooooooo kwa Katiba pendekezwa!!!!!!!!

we endelea kujidanganya tuu, ukubwa wa pua sio uwingi wa makamasi wewe, kubwa jinga ndo wewe sasa kama ulikuwa ujui, kichwa kikubwa akili sifuri.

kama MNDUKU wako ulivyomkubwa. na hivi unauEBOLA ndo unazidi kupanuka
 
kama MNDUKU wako ulivyomkubwa. na hivi unauEBOLA ndo unazidi kupanuka

Wee Mwalla. Toa ujinga wako hapa! huna maana wewe, unatuandikia tusome upuuzi wako. Unapoandika fikiri kwanza maana wasomaji wapo watu wenye heshima zao. Koma!
 
Huyu Mwala anatakiwa awekwe qualantine ili kupima bichwa lake inaelekea ubongo wa mbele, kati na nyuma umechanganyika kiasi kwamba anarun mental, kubwa zima unachezea mdoli ha ha ha ha Katiba ni Mafuriko ya mvua ya mawe utake usitake itapita kwa nguvu ya wananchi.
 

😛eep::majani7::mimba::bathbaby::A S-confused1::A S-confused1::tape::tape::tape:
 
Nyie vibaka wa lumumba mnaozaliwa leoleo hii ndio dwa yenu.. Vumilieni iwaingie polepole tu..
 
we inama tu nikumwagie aaaaaa mbona ntapata ucngizi pooooooowwwaaaa!!!! UKITOKA HAPO NA :mimba: JUU


Mwalla jiheshimu kinachokutoka mdomoni ndio ishara ya kilichojaa moyoni mwako! Unahitaji cauncelling ili kichwa yako ifanye kazi vizuri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…