Badili badili inaweza sababisha upate uambukizo wa magonjwa ya kuambukiza kwa njia ya kujamiiana(STD'I) kwa mfano chlamydia and gonorrhea ,ingawa sometime huwa dalili hizi hazijionyeshi ,pia Bacterial vaginosis(huu sio ugonjwa wa kuambukizwa) husababisha pia mucus kuongezeka
wewe hujasema hiyo fluid yako ikoje .kawaida vaginal mucus inatofautiana kati ya mwanamke mmoja na mwingine .kama ina harufu ambayo si ya kawaida ni vizuri ukaenda hosp kwa vipimo.
Nyanya chungu + ndizi (matoke) + amaizi agarungi (majani) = Fluid. nyegera bhojo.
Mods please msihamishe hii mana huko mnapopeleka sina access!
Sasa nauliza, ndizi bukoba inaongeza vaginal fluid? Mana there z friend of mine 4rm bukoba alinidokeza kuwa zinachangia sana ndo mana wanawake wakule si haba katika swala zima la maji! Somebody with knowledge, experience? Kuna namna ya kupunguza maji?
Namkumbuka sana jamaa yangu mmoja miaka ile ya 80 alikuwa anaielezea sana hiyo KATERELO! Sikujua kuwa inatokana na ndizi Bukoba. Inawezekana ni kweli. Pia nasikia zinaongeza na USAFIRI! Maana usafiri wa KIHAYA si haba, miguu ya akinadada imejaza sana. Ni maji hayo?
Ni kweli zinaongeza maji maji ukeni..kuna jamaa alisafiri kwenda bukuba akafikia gest house,kwenye vitanda wameweka nailon chini ya shuka ili wateja wakifanya mambo yao godoro lisilowe..tht means ndo nature ya jamii ya eneo hilo.Hongera kwa kazi