Ndizi dawa ya Ukimwi!!

Kutokana na utafiti huu kinachozuiwa ni HIV-1, Afrika na hasa Tanzania kuna HIV-1 na HIV-2 na anayeshambulia sana na kumaliza wengi ni HIV-2. Huenda huko Mbeya na Kagera kuna HIV-2 ambaye hazuiliki kwa ndizi

Huo ni utafiti wako au ni hisia,tupe taaluma yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…