Peleka kwa wakubwa huko.....
he eeeeeeeeeee ndizi si tunda dearest? au wataka lianzishwe jukwaa la matunda????
mi sijawahi kula ndizi yenye ganda,na tangu wadogo tunamenya ndizi ndo tunakula,utakulaje ndizi na maganda yake,tamedondoka kwenye udongo,wakati mwingine yana hata konokono.....πound:πound:
kusoma hujui yaaani hata picha?hebu toka na kihedemswede chako hapahe eeeeeeeeeee ndizi si tunda dearest? au wataka lianzishwe jukwaa la matunda????
mi sijawahi kula ndizi yenye ganda,na tangu wadogo tunamenya ndizi ndo tunakula,utakulaje ndizi na maganda yake,tamedondoka kwenye udongo,wakati mwingine yana hata konokono.....πound:πound: