Texas Tiger
JF-Expert Member
- Nov 5, 2022
- 483
- 1,100
Nawaza zitakuwa tamu kweli. Mbegu za migomba ya GMO zimeua migomba asilia kagera.
Wahaya sasa wanagonga ugali hawana ndizi
Haka nchi kana mambo mengi ya kustaajabisha. Mara cannibals, mara tamaduni ya wanaume kupakatana na kukutana na wanawake tu kwa ajili ya kutengeneza watoto.Siyo genetically modified hii mzee.
Hii ni jamii ya kale kabisa ya babana. Imekuwepo kwa mamia ya miaka Asia.
Inashangaza ee? Na ladha yake ni kama ndizi hizi ‘gmo’ tunazokula siku hizi.
Hizo ndizi ni wild. Og
Aisee hivi si itakua inachukua muda mrefu kukomaa ? Mgomba kama mnazi[emoji848]
Afu ukiila lazima uishike kwa mikono yote eti🤔Aisee hivi si itakua inachukua muda mrefu kukomaa ? Mgomba kama mnazi🤔
Afu ukiila lazima uishike kwa mikono yote eti🤔Aisee hivi si itakua inachukua muda mrefu kukomaa ? Mgomba kama mnazi🤔
Unaweza kuila kwa kijiko pia si lazima mikono yote😬Afu ukiila lazima uishike kwa mikono yote eti🤔
Hivi mgomba hadi uanze kutoa ndizi ni kuanzia muda gani wa utunzaji? Nataka kuanza kilimo cha ndizi.Sifahamu kwa uhakika. Nachofahamu mgomba ukiutunza vizuri tangu awali, ukahakikisha space/shimo ni kubwa, utashangaa ndani ya muda mfupi una bonge ya mgomba na soon unakula ndizi.
Ni kama tu korosho za gmo zinavyosambaa kusini,Nawaza zitakuwa tamu kweli. Mbegu za migomba ya GMO zimeua migomba asilia kagera.
Wahaya sasa wanagonga ugali hawana ndizi
Hivi mgomba hadi uanze kutoa ndizi ni kuanzia muda gani wa utunzaji? Nataka kuanza kilimo cha ndizi.
Hizi ndizi zinaitwaje kitaalam?? Namaanisha scientific Name
Thank you mkuu, ngoja nianze sasaKuanzia unapanda machipukizi hadi unavuna inaweza chukua miezi 9 hivi kutegemea na hali ya hewa. Sehemu za joto wanavuna mapema kiliko sehemu za baridi.