W We can JF-Expert Member Joined Sep 4, 2010 Posts 678 Reaction score 47 Oct 31, 2010 #1 Kwa matokeo haya hapa JF toka Mbeya, Arusha, Mwanza, nk., lazima hofu kubwa imetanda upande mmoja na kusababisha waelekee AIRPORT. Au ndo kusema watatumia HELKOPTA?
Kwa matokeo haya hapa JF toka Mbeya, Arusha, Mwanza, nk., lazima hofu kubwa imetanda upande mmoja na kusababisha waelekee AIRPORT. Au ndo kusema watatumia HELKOPTA?
Makanda Member Joined Oct 29, 2010 Posts 77 Reaction score 2 Oct 31, 2010 #2 Hatoki Mtu mpaka wakabidhi hazina yetu kama mkapa alivyokabidhi
K Kifuna JF-Expert Member Joined Aug 7, 2008 Posts 442 Reaction score 118 Oct 31, 2010 #3 Sisiemu hamuwezi kudanganya watu woote wakati woote ila mnaweza kudanganya watu furani tu wakati furani tu. Mnaona sasa! CHADEMA hawakutaka kushinda ni UFISADI tu ndo ulosababisha!
Sisiemu hamuwezi kudanganya watu woote wakati woote ila mnaweza kudanganya watu furani tu wakati furani tu. Mnaona sasa! CHADEMA hawakutaka kushinda ni UFISADI tu ndo ulosababisha!
M mwalimumpole Member Joined Oct 17, 2010 Posts 48 Reaction score 0 Oct 31, 2010 #4 Mwisho wa uovu ni aibu
Andrew Kellei JF-Expert Member Joined Sep 11, 2009 Posts 348 Reaction score 123 Oct 31, 2010 #5 Mkuu naona umekua kwenye mawazo yangu,nilitaka kusema wana JF tukae mkao wa kula huko mipakani (Holili,Rongai,Namanga,Tunduma nk)nina wasiwasi kuwa watu wataanza kutoroka.Kwa wale wanaokaa karibu na mipakani mtusaidie kuangaza macho.
Mkuu naona umekua kwenye mawazo yangu,nilitaka kusema wana JF tukae mkao wa kula huko mipakani (Holili,Rongai,Namanga,Tunduma nk)nina wasiwasi kuwa watu wataanza kutoroka.Kwa wale wanaokaa karibu na mipakani mtusaidie kuangaza macho.
Horseshoe Arch JF-Expert Member Joined Aug 10, 2009 Posts 13,403 Reaction score 12,775 Oct 31, 2010 #6 nipo Namanga..hatoki mtu
Njowepo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 9,710 Reaction score 2,240 Oct 31, 2010 #7 Kuna kijana wangu yupo stand by pale Tunduma
T The King JF-Expert Member Joined Oct 20, 2010 Posts 357 Reaction score 1 Oct 31, 2010 #8 Mipakani ulinzi wa hali ya juu uongezwe ili mafisadi wasitoroke