Ndo maana wanaume tunakufa haraka

Wanaume tumeambiwa mateso na kuhangaika

Kuumbwa tu kiumbe wa jinsia ya kiume kuna kuweka kwenye risk ya kufa muda wowote..........

Ndio unaweza kukuta mwanaume katoka nyumbani kwenda kutafuta ridhiki anakutwa njiani kafa kagongwa na gari au yupo Muhimbili Moi.........
 
Mmmmmh!!! Hapo ukute analelewa hivyo lazima ajionyeshe angalau ana mbavu(wanaume wa siku hizi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…