Juzi nilisinziaa kanisani bana[emoji18]nimelala ww mara nkasikia jirani yangu ananiambia pembenii! mpendwa amkaa!!
Nikasikiaa na mchungajii uko!! NYANYUKAA!! nikasimaama watu wakapigaa makofi[emoji122][emoji122][emoji122]
Mchungaji: Oooh! asanteh sana haya mwinginee anaetoaa million 2 kama mchangoo wa shughuli za kanisaa?? [emoji15][emoji15]
my frend nilizimiaa ndo nimeshtuka saa hivi [emoji18][emoji18]