Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
EhehehDr jasmine aseeh... haya karibu
Aiseehiii mama unaishi dunia ya ngapi mbona kitambooooo 😀
Akhsante mamiiii.Aisee
Haya karibu sana Dr
Ok.kwa room.
mbona wafurahi sana.Eheheh
Kawaida tumbona wafurahi sana.
shemale 😛.Ok.
We ni Ke au Me??
wajameni.Kawaida tu
Mi nataka unipe zawadipole pole mbona patakalika tu.
acha kupenda vya kupewa wewe mjini hapa oohooo.Mi nataka unipe zawadi
Kajisahau huyo kaingia chooni.Kuna sehemu nyingi za kuingia, umeingia wapi??
hahah watu wana majibuKajisahau huyo kaingia chooni.
Bhabha?!akusalimie ng'wanene?sema mhamha...au ghokhoeminza bhabha.
akhsante zama hii misamiati imeshanipita kando kidogo.Bhabha?!akuaalimie ng'wanene?sema mhamha...au ghokho
wajameni.Karibu mwenyeji ila washakuvurugia sidhani kama utampata huyo miss chagga tena.
Wewe kwake ni mjukuuakhsante zama hii misamiati imeshanipita kando kidogo.
heeeh yamekua hayo okey aksante ngoja ajilete.Wewe kwake ni mjukuu
Sasa wewe si ke ukinipa zawadi haina madharaacha kupenda vya kupewa wewe mjini hapa oohooo.
Njoo tupeaneSasa wewe si ke ukinipa zawadi haina madhara