Wan jamvi
Inamaana wte hamjui hili=
You did not secure loan
duh sie tutakuwa tumepata 140% as posible ilikuwa 2600000 na wametugaia 3100000! kweli mungu mkubwa
mm na course yangu ya priority nimekosa mkopo..poor me
Kozi gani mkuu?
duh sie tutakuwa tumepata 140% as posible ilikuwa 2600000 na wametugaia 3100000! kweli mungu mkubwa
geomatics pale ardhi..
mm na course yangu ya priority nimekosa mkopo..poor me
unafkiri kukosa mkopo ndio sitosoma,nashukuru baba yangu anao uwezo wa kunilipia hapo chuo..kama alinilipia 2.5M ada ya shule basi hawezi kushindwa kunilipia 1.2M za hapo ARU..Pole sana kaka.....sijui kama nitakuwa nakosea kukwambia hili ntakalokwambia.....malipo ni duniani ndugu,umekufuru sana mungu kwa maneno yako ya kebehi na dharau humu jamvini,......mungu amekuonesha kuwa maisha hayapo kama tunavyodhani,wale wenzako wa HKL uliokuwa unawakebehi wamepata mkopo wa kutosha tu.....pole sana
unafkiri kukosa mkopo ndio sitosoma,nashukuru baba yangu anao uwezo wa kunilipia hapo chuo..kama alinilipia 2.5M ada ya shule basi hawezi kushindwa kunilipia 1.2M za hapo ARU..
unafkiri kukosa mkopo ndio sitosoma,nashukuru baba yangu anao uwezo wa kunilipia hapo chuo..kama alinilipia 2.5M ada ya shule basi hawezi kushindwa kunilipia 1.2M za hapo ARU..
duh sie tutakuwa tumepata 140% as posible ilikuwa 2600000 na wametugaia 3100000! Kweli mungu mkubwa
hv wale wa nacte nao wametoa majina yao au ni wa six pekee then wa nacte watafuata?
Kwa IFM yeyote aliyesecure loan..
Nimelamba tution fee yoote pale IFM yani 1.5M, jumla ya hela yote ninayopewa na bodi n 4220500... Kweli Mungu mkubwa.. Program niliyopo ni accounts
Hongera sana..
2po coz moja ila ndo hivyo cna bahati