Kwenye zizi la Ng'ombe, mke akawa anashangaa dume linavyopanda jike.
Akamuuliza dokta wa mifuko "Hivi hili dume hupanda mara ngapi kwa siku?"
Dokta akajibu "kwa wastani mara sita kwa siku "
Mke akamgeukia mumewe " Unaona! ...." Mume akajifanya hajasikia lolote.
Kisha akamgeukia dokta wa mifugo na kumuuliza, " Hivi hizo mara sita kwa siku huyu dume huwa analipanda jike hilo hilo? "
Dokta akajibu "Hapana, huwa anapanda majike tofauti...!!" Mume akamgeukia mkewe huku akitabasamu "Unaona! ....??"
We unadhania baada ya maongezi haya nini kilifuata?
Nawaza kwa sauti.....