mmzalendo
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 165
- 1
mimi jamani nilikua na swali?
kuna umuhimu gani kufunga ndoa kisha mnakorofisha
mnanyimana unyumba kwa zaidi ya miaka mitano
japo hakuna anayeshitukia dili katika familia lakini
nyie mambo yenu sio safi chumbani
kuna haja gani ya kuendelea kuishi pamoja kisa watoto?
kuna umuhimu gani kufunga ndoa kisha mnakorofisha
mnanyimana unyumba kwa zaidi ya miaka mitano
japo hakuna anayeshitukia dili katika familia lakini
nyie mambo yenu sio safi chumbani
kuna haja gani ya kuendelea kuishi pamoja kisa watoto?