Ndoa; bwana age 79 bi arusi 31

Mgoyangi

Senior Member
Joined
Feb 6, 2008
Posts
184
Reaction score
9
Napita hapa shinyanga na muda huu nakuta mzinga arusi, Bwana arusi umri miaka 79 na ni mhubiri na bi arusi afisa mmoja wa serikali. Imefana na waungwana wanashangilia ile mbaya. Kwa wazungu huwa style hii maarufu. Hapa uzoefu ukoje?
 
Napita hapa shinyanga na muda huu nakuta mzinga arusi, Bwana arusi umri miaka 79 na ni mhubiri na bi arusi afisa mmoja wa serikali. Imefana na waungwana wanashangilia ile mbaya. Kwa wazungu huwa style hii maarufu. Hapa uzoefu ukoje?

khaaaaaa ntoto atatokeaa!!!!af atakiita nani hiko kibabu?
 
tatizo vijana wengi wa siku hizi mdebwedo sasa kama babu ngangari wache alambe kimwari vijana wenyewe mumeregea ubishoo mwingi munajuwa kunywa bia na kucheza mziki tu.
 
Ni maamuzi yao hayatuhusu :shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth:
 
tatizo vijana wengi wa siku hizi mdebwedo sasa kama babu ngangari wache alambe kimwari vijana wenyewe mumeregea ubishoo mwingi munajuwa kunywa bia na kucheza mziki tu.
Wee Mzee?
 
Napita hapa shinyanga na muda huu nakuta mzinga arusi, Bwana arusi umri miaka 79 na ni mhubiri na bi arusi afisa mmoja wa serikali. Imefana na waungwana wanashangilia ile mbaya. Kwa wazungu huwa style hii maarufu. Hapa uzoefu ukoje?




Jamaa anategemea kutumia Viagra mpaka lini? asije overdose ikamuua.
 
Mapenzi ni zaidi ya umri...!
Nasisitiza tena love is more than age...!
Okey...! I'm out.
 
yap! Mapenzi hayabagui, hayachagui umri, kabila wala nin, Big up Babu na Binti (maharusi).
 
Wanakwambia wenyewe mwanaume hazeeki! Ila nikiwa mdogo nilizoea kushuhudia harusi za design hiyo. Nadhani sababu ya ugumu wa maisha wadada wengi walikuwa wanaolewa na wanaume aged. Na wanaume walikuwa wanachelewa kuoa sababu ya kipato. Ila hyo wa 70+ lazima hiyo ngoma itakuwa second or third wife.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…