Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 354
Hallow wapendwa wa hapa MMU, za leo? Jamani mkistaajabu ya Musa utayoana ya firauni! Nadhani ni last week niliwapa story ya I'L KILL HIM 4 MY KIDS, bs jana yametokea ya kutokea, yule dada kanipigia simu kaniambia yule mwanamke alieolewa na mtalaka wake amemjia kwake anamlilia amsaidie kuondokana na balaa la yule mwanaume. Eti mwanaume halali nyumbani, anachukua mshahara wake, anampiga na mbaya zaidi analetaga wanawake wengne humo humo ndani anapoishi analala nao. Sasa eti kamfata huyu rafiki yangu anamuomba ampe ujanja wa jinsi alifanya kipindi kile mpaka akaweza kuondokana nae. Huyu best yangu ameniambia akikumbuka nyodo za huyu dada alivyokuwa anamzaraugi, anam2kana, anamsingizia mambo ya uongo na zaidi alivyomchukua mumewe hadi akamuoa, leo yamemkuta zaidi ya yale yaliyomkuta mwaka 2005, alijickia kulia na kucheka ila ki2 pekee alichoweza kumwambia ni umevuna ulichopanda,ila km umechoka ondoka nenda kwenu au muwekee sumu kwenye chakula afe! Haha.... Kwa kweli nimemuona huyo mwanamke hana akili, eti unaenda kumuomba ushauri mwanamke uliemvunjia ndoa eti umfanyeje mume? AMA KWELI MALIPO NI HAPA HAPA NA SIO AKHERA!