Ndoa ina miezi 2 mume kinyesi kinamtoka bila habari

Nenda hospital kama anakipato kizuri anaweza kufanyiwa upasuaji na akawa vizuri utakuja kunishukuru
 
Umesema ana kazi nzuri, ana kipato kizuri na anakupatia tendo la ndoa vizuri. Muulize kwa upendo Kisha mshauri hatua zaidi za hospitali hata kama alishajaribu za awali
 
Pole sana.

Kitaalamu hilo tatizo linaitwa Fecal Incontinence.

Kwa hiyo aende hospital akaonwe na daktari ili afanyiwe uchunguzi ili kuweza kubaini kisababishi cha tatizo lake na hivyo kutibiwa.

Kila la kheri.
 
Hii chai ya karafuu, mbona kipindi wananyanduana halikuwa hatoki hayo mavi?
 
Halafu hii story umeitoa huko X na kuileta huku.
 
Chai haina sukari hiii ! Ushazoeleka na nyuzi zako za kipuuzi puuzi unajitungia tu hapa ! Unatafuta comments au umaarufu wa kis**nge ? Peleka Facebook kwa Wajinga wenzio
Umemzodoa utamu sana! πŸ˜‚πŸ‘ŠπŸΎπŸ‘πŸΎ
 
Namba ya simu ya mume wake ni hii hapa, wadau mshaurini 0780802230
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…