yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,
Kwa issue kama yako nisingefikilia mara mbili,hivi huyo mama anayekwambia uvumilie na ukipata gonjwa atakusaidiaje ?Ataweza hata kumlea mwanao wote mkiondoka ?
Yameshamfika haya ??
yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,
mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 23
nina mume ambaye nipo nae kwa miaka sita na nimezaa nae mtoto mmoja
kamtumia binti fulani pesa kwa njia ya m-pesa
natamani hata nitoke nje coz na mm najijua ni mzuri bado nafikiria nahitaji mawazo yako.upande mwingine huyu mume wangu ananijali na familia kwa ujumla lakiniatatizo ni umalaya,
Hapo ukitoka nje ya ndoa watakulaumu.................???? Sitetei uzinzi lakini kwa hali hiyoo mmmmhhh inakuwa ngumu mwaya.......
Ila ushauri wangu ni kwamba VUMILIA mpaka mwisho wa dahali mwanamke hakati tamaa wala kuchoka....................POLE DEAR.............
SIRUHUSU MASWALI KWA HILI
nawe mama d unataka kuvunja ndoa ya mwenzio,unafikiri aliyemshauri AVUMILIE,alikua mjinga kuliko wewe?NAtamani niwe wewe ili nikusaidie maana najua wanawake wengi wanaogopaga sana kufanya maamuzi ya kusimama wenyewe......... ila nakuambia tafuta ustaarabu wako na hutojuta kamwe!!!!!!!!!!!!!! mwache ajirushe fainali uzeeni
habari wana jamii forms, napenda mawazo yenu na michango mnayotoa humu,,mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 23
naomba msaada jamn,nina mume ambaye nipo nae kwa miaka sita na nimezaa nae mtoto mmoja, kiukweli huyu kaka ni malaya cna kutokana na tabia yake hapo nyuma kwani aliowa wake 2 kabla yangu na wakaachan akidai hawafai walikuwa na tabia mbaya
ameshanisaliti mara nyingi sana mpk sasa na ushahidi nikapata lkn aliomba msamaha coz nlikuwa bdo nampenda tukaendelea na maisha,,
hivi sasa kanikataza kushika simu yake yaani tunagombana kila siku, kuna siku nilikuta kamtumia binti fulani pesa kwa njia ya m-pesa nilipomuuliza ni nani tuligombana cna akadai ni mama wa mtoto wake,, lakini nilichunguza nikakuta ni uongo kwani namba ya mzazni mwenzake naijua na hawezi kumuita mpenzi kwani huyo mzazi mwenzake keshaolewa,,
nilimpigia huyo binti nikamuuliza yeye ni nani lakini matokeo yake alinitukana akaniambia sijaona wanaume nini???akasema yy hakumtongoza mume wangu bli mume wangu ndiye aliyemtongoza kiukweli niliumia cna nikalia mpaka nikachoka,,nikataka nirudi kwetu lakini nikaenda kwa mama mmoja rafiki wa familia akanishauri nisiondoke nikae nivumilie,,
kwa upande mwingine huyu mume wangu ananijali na familia kwa ujumla lakiniatatizo ni umalaya,,
natamani hata nitoke jne coz na mm najijua ni mzuri bado nafikiria nahitaji mawazo yako.
huyo hakufai kwa kuwa kama una miaka 23 alikuoa ukiwa @17. alikubaka na anapaswa kushtakiwa. pili, ukiwa tayari kutoka nje unijuze. swala la umalaya ni hatari muulize kama huwaga anatumia condom na ikiwezkana utest hiv na yeye pia. kama mko neg ataogopa kutoka nje. ila usisahau kunijuza ukianza kale ka mpango ka kumuvu auti.
habari wana jamii forms, napenda mawazo yenu na michango mnayotoa humu,,mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 23
naomba msaada jamn,nina mume ambaye nipo nae kwa miaka sita na nimezaa nae mtoto mmoja, kiukweli huyu kaka ni malaya cna kutokana na tabia yake hapo nyuma kwani aliowa wake 2 kabla yangu na wakaachan akidai hawafai walikuwa na tabia mbaya
ameshanisaliti mara nyingi sana mpk sasa na ushahidi nikapata lkn aliomba msamaha coz nlikuwa bdo nampenda tukaendelea na maisha,,
hivi sasa kanikataza kushika simu yake yaani tunagombana kila siku, kuna siku nilikuta kamtumia binti fulani pesa kwa njia ya m-pesa nilipomuuliza ni nani tuligombana cna akadai ni mama wa mtoto wake,, lakini nilichunguza nikakuta ni uongo kwani namba ya mzazni mwenzake naijua na hawezi kumuita mpenzi kwani huyo mzazi mwenzake keshaolewa,,
nilimpigia huyo binti nikamuuliza yeye ni nani lakini matokeo yake alinitukana akaniambia sijaona wanaume nini???akasema yy hakumtongoza mume wangu bli mume wangu ndiye aliyemtongoza kiukweli niliumia cna nikalia mpaka nikachoka,,nikataka nirudi kwetu lakini nikaenda kwa mama mmoja rafiki wa familia akanishauri nisiondoke nikae nivumilie,,
kwa upande mwingine huyu mume wangu ananijali na familia kwa ujumla lakiniatatizo ni umalaya,,
natamani hata nitoke jne coz na mm najijua ni mzuri bado nafikiria nahitaji mawazo yako.
yey ana miaka 45 yaani kwake ndiyo kumekucha na visichana ananiboa mpaka basi,
habari wana jamii forms, napenda mawazo yenu na michango mnayotoa humu,,mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 23
naomba msaada jamn,nina mume ambaye nipo nae kwa miaka sita na nimezaa nae mtoto mmoja, kiukweli huyu kaka ni malaya cna kutokana na tabia yake hapo nyuma kwani aliowa wake 2 kabla yangu na wakaachan akidai hawafai walikuwa na tabia mbaya
ameshanisaliti mara nyingi sana mpk sasa na ushahidi nikapata lkn aliomba msamaha coz nlikuwa bdo nampenda tukaendelea na maisha,,
hivi sasa kanikataza kushika simu yake yaani tunagombana kila siku, kuna siku nilikuta kamtumia binti fulani pesa kwa njia ya m-pesa nilipomuuliza ni nani tuligombana cna akadai ni mama wa mtoto wake,, lakini nilichunguza nikakuta ni uongo kwani namba ya mzazni mwenzake naijua na hawezi kumuita mpenzi kwani huyo mzazi mwenzake keshaolewa,,
nilimpigia huyo binti nikamuuliza yeye ni nani lakini matokeo yake alinitukana akaniambia sijaona wanaume nini???akasema yy hakumtongoza mume wangu bli mume wangu ndiye aliyemtongoza kiukweli niliumia cna nikalia mpaka nikachoka,,nikataka nirudi kwetu lakini nikaenda kwa mama mmoja rafiki wa familia akanishauri nisiondoke nikae nivumilie,,
kwa upande mwingine huyu mume wangu ananijali na familia kwa ujumla lakiniatatizo ni umalaya,,
natamani hata nitoke jne coz na mm najijua ni mzuri bado nafikiria nahitaji mawazo yako.
Kwa age yake he should be so confortable with a young lady like you. That tells me, there might be something missing kwa upande wako.
Huyu mbaba angekuwa na wife mwenye 43yrs tungeweza kusema he is after damu changa.
Naamini kuna kitu unakifanya ambacho kina-fuel hiyo hali. Otherwise kama unadhani umefanya yote yanayowezekana hapo huna jinsi FUATA MOYO WAKO.
Bado hujamaliza ku-pack mizigo yako tu? Beba mwanao uondoke faster tena macho makavu maana hastahili hata machozi yako. Ile kuacha wawili ilipaswa ikustue ila huwezi kurudisha muda nyuma,achana nae sasa kabla hajakuletea maradhi.