nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Nsiande ushauri wako ni mzuri sana nauafiki lakini hapo kwenye nyejundu mh....hapana na pananifanya nijiulize mara mbili...Mke wa ndoa, unamkatalia mumeo on what grounds?? Ni malaya!!! ushahidi?
Jamani nyie watu hebu achem mashara usijeshangaa akichukua uamuzi huu akafikishwa baraza ka msisiri kwa kesi ya kumnyima mumewe haki ya ndoa (na nakuhakikishia hadi kanisani mume ataungwa mkono) Mke huna mamlaka juu ya mwii wako kwa mumeo naye kwako.........sasa sijui utaanzia wpi kumnyima ah........nyie acheni tu
Bora ungesema asizae mtoto mwingine kwani future haiko certain. Dada jitahidi usishike mimba tena maana ndoa yako haieleweki isije ikawa ngumu kulea watoto baadae
Aksante Husninyo......na kama hawezi basi aquit jumla lakini si kuiba nje,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Pole ila shida ni moja, umeolewa halafu unajiita MISS kwanini usiweke MRS?
njoo kwangu nora, mtoto tutalea na tutaongeza mwingine ikibidi u are too young for the experiencehabari wana jamii forms, napenda mawazo yenu na michango mnayotoa humu,,mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 23
naomba msaada jamn,nina mume ambaye nipo nae kwa miaka sita na nimezaa nae mtoto mmoja, kiukweli huyu kaka ni malaya cna kutokana na tabia yake hapo nyuma kwani aliowa wake 2 kabla yangu na wakaachan akidai hawafai walikuwa na tabia mbaya
ameshanisaliti mara nyingi sana mpk sasa na ushahidi nikapata lkn aliomba msamaha coz nlikuwa bdo nampenda tukaendelea na maisha,,
hivi sasa kanikataza kushika simu yake yaani tunagombana kila siku, kuna siku nilikuta kamtumia binti fulani pesa kwa njia ya m-pesa nilipomuuliza ni nani tuligombana cna akadai ni mama wa mtoto wake,, lakini nilichunguza nikakuta ni uongo kwani namba ya mzazni mwenzake naijua na hawezi kumuita mpenzi kwani huyo mzazi mwenzake keshaolewa,,
nilimpigia huyo binti nikamuuliza yeye ni nani lakini matokeo yake alinitukana akaniambia sijaona wanaume nini???akasema yy hakumtongoza mume wangu bli mume wangu ndiye aliyemtongoza kiukweli niliumia cna nikalia mpaka nikachoka,,nikataka nirudi kwetu lakini nikaenda kwa mama mmoja rafiki wa familia akanishauri nisiondoke nikae nivumilie,,
kwa upande mwingine huyu mume wangu ananijali na familia kwa ujumla lakiniatatizo ni umalaya,,
natamani hata nitoke jne coz na mm najijua ni mzuri bado nafikiria nahitaji mawazo yako.
huyu dada ameolewa na 17yrs ulimaliza hata shule kweli mamito? Na una hata ujuzi wowote? Umasikini kweli mbaya wazazi wako kisa cha kukuozesha mdogo vile? Nakushauri rudi shule upate elimu na ujuzi ukiwa serious utatoka. Umesema unafikiria kuachika kwani we bado ni mzuri so unategemea uzuri wako kuishi sio? Na kama ni hivyo sioni haja ya wewe kuachika kwani ili uishi lazima uwe na mwanaume wa kukuwezesha. Naona bora ubaki tu na huyo huyo ila rudi shule
Nsiande ushauri wako ni mzuri sana nauafiki lakini hapo kwenye nyejundu mh....hapana na pananifanya nijiulize mara mbili...Mke wa ndoa, unamkatalia mumeo on what grounds?? Ni malaya!!! ushahidi?
Jamani nyie watu hebu achem mashara usijeshangaa akichukua uamuzi huu akafikishwa baraza ka msisiri kwa kesi ya kumnyima mumewe haki ya ndoa (na nakuhakikishia hadi kanisani mume ataungwa mkono) Mke huna mamlaka juu ya mwii wako kwa mumeo naye kwako.........sasa sijui utaanzia wpi kumnyima ah........nyie acheni tu
huwa nachukia tabia kama yako.
I totally agree with you. Kudai talaka sio solution. Nina dada yangu yeye mumewe alifariki wakati yeye bado anadai sana tu. Jinsi alivyokuwa anawapanga wame za watu wakati mume wake tunahisi kafa na gonjwa la kisasa tulikuwa hatuna hamu kabisa. Unatamani umzukie jamaa umwambie anatafuta kifo unashindwa.
Back to the point, mnaosema adai talaka are you sure she can abstain from having sex after divorce? Au ahachike na kuwa kimada wa wame za watu? Si kila mtu anaweza kuishi single. Kingine inaelekea mdada hana kipato kwani ameolewa mdogo maanake hana elimu. Its better to die in marriage than otherwise kwani ukimwi hauko kwenye ndo peke yake.
habari wana jamii forms, napenda mawazo yenu na michango mnayotoa humu,,mimi ni mama wa mtoto mmoja nina miaka 23
naomba msaada jamn,nina mume ambaye nipo nae kwa miaka sita na nimezaa nae mtoto mmoja, kiukweli huyu kaka ni malaya cna kutokana na tabia yake hapo nyuma kwani aliowa wake 2 kabla yangu na wakaachan akidai hawafai walikuwa na tabia mbaya
ameshanisaliti mara nyingi sana mpk sasa na ushahidi nikapata lkn aliomba msamaha coz nlikuwa bdo nampenda tukaendelea na maisha,,
hivi sasa kanikataza kushika simu yake yaani tunagombana kila siku, kuna siku nilikuta kamtumia binti fulani pesa kwa njia ya m-pesa nilipomuuliza ni nani tuligombana cna akadai ni mama wa mtoto wake,, lakini nilichunguza nikakuta ni uongo kwani namba ya mzazni mwenzake naijua na hawezi kumuita mpenzi kwani huyo mzazi mwenzake keshaolewa,,
nilimpigia huyo binti nikamuuliza yeye ni nani lakini matokeo yake alinitukana akaniambia sijaona wanaume nini???akasema yy hakumtongoza mume wangu bli mume wangu ndiye aliyemtongoza kiukweli niliumia cna nikalia mpaka nikachoka,,nikataka nirudi kwetu lakini nikaenda kwa mama mmoja rafiki wa familia akanishauri nisiondoke nikae nivumilie,,
kwa upande mwingine huyu mume wangu ananijali na familia kwa ujumla lakiniatatizo ni umalaya,,
natamani hata nitoke jne coz na mm najijua ni mzuri bado nafikiria nahitaji mawazo yako.