lazima watafurahi kama binti yao
alikuwa anaonewa...
lakini bado hujanijibu swali langu
kwanini wazazi waone aibu???
na hapo juu umeelezea hasira si
aibu...
......... inategemea chanzo
hakuna maswala ya kuonewa, nyie si ndo mnasema ulitaka uolewe ili uondoe mkosi? Ukishaolewa unaanzisha visa kibao!!!
Rudia tena kusoma utanielewa vizuri namaanisha nini.............aaah wapi, kwani walipotongozana sifa ilikua ya nani??
Ndoa sio ndoano....ni makubaliano ya pande mbili ...mtu mume na mtu mke. Kama ilivyo kwa mambo mengine ndoa nayo ina makubaliano ambayo yanafaa kuheshimiwa ili ndoa iweze kudumu...ikiwa upande mmoja umeshindwa kuheshimu makubaliano mliojiwekea na jitihada za kumrudisha ikashindwa kuzaa matunda si aibu kujiengua!....wakati mwingine kuachana tafsiri yake si udhaifu km wengi tunavyoweza kudhani ila ni namna ya kuonesha kua umekomaa vya kutosha kufanya maamuzi magumu![/QUO]
Kwa hiyo ulioa/kuolewa ukiwa hujakomaa then ukakomaa ukiwa ndoani au ndio hizo ndoa za kufuata mkumbo?Ndoa sio sehemu ya majaribio!
Ndoa sio ndoano....ni makubaliano ya pande mbili ...mtu mume na mtu mke. Kama ilivyo kwa mambo mengine ndoa nayo ina makubaliano ambayo yanafaa kuheshimiwa ili ndoa iweze kudumu...ikiwa upande mmoja umeshindwa kuheshimu makubaliano mliojiwekea na jitihada za kumrudisha ikashindwa kuzaa matunda si aibu kujiengua!....wakati mwingine kuachana tafsiri yake si udhaifu km wengi tunavyoweza kudhani ila ni namna ya kuonesha kua umekomaa vya kutosha kufanya maamuzi magumu!
hahahahahah lol
haya bwana ngoja nikuachie hiyo
lakini nijibu swali langu
"kwa nini wazazi waone aibu"???
asante na usiku mwema