Ndoa kati ya Irene na Ndikumana yashikiliwa na uzi wa buibui

Ndoa kati ya Irene na Ndikumana yashikiliwa na uzi wa buibui

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Source:gazeti la kiu,Jamaa amefulia na hana hela,Mkewe anamzingua,hakuna maelewano kabisa::

irene2.jpg

11.jpg
 
Ndikumana uyo dada bonge la mshamba.ni mwanamke staili ya chapa itembee.uwoya anataka maisha ya magazeti anaiga mambo alisema wolper mshamba yeye ndio mshamba.
 
Mapenzi ya pesa na ulimbukeni wa kupanda ndege ndo matokeo yake....
 
kunguru hafugiki!!!

Naajribu kukubaliana na wewe. Ukimwangalia sana hapa bibi harusi, pamoja na kuvaa shera, hakuwa na furaha. he face is reserved. Nadhani alikuwa na akili yake. Kwa upande mwingine, bwana harusi kafikaaaaaaaa.....ha ha ha ha!
 
ivi cv za hawa watu ni nini? wanakazi gani hapa mjini? maana hata kuwajua siwajui. kwenye taarifa ya habari ya tv yoyote sijawahi pata fursa ya kuwaona. ni wanachama ya cuf, chadema au ccm?
 
Maisha ni safari ndefu.Mungu alifanaya la maana sana kufanya binadamu kutokuwa na uwezo wa kujua nini mwenzio anawaza!
 
New Year's eve is like every other night; there is no pause in the march of the universe, no breathless moment of silence among created things that the passage of another twelve months may be noted; and yet no man has quite the same thoughts this evening that come with the coming of darkness on other nights. ~Hamilton Wright Mabie
 
Back
Top Bottom