ndoa/mapenzi thru mitandao ya kijamii


Utaona mtu kishaandika hapa kwamba ni mke/mume wa mtu halafu anakutana na mtu hapa wanaanza kuitana darling, la azizi, sweetie, mpenzi bila hata ya kuwa na staha ya ndoa zao! labda ndio katika juhudi za kutafuta umaarufu kwa nguvu. Halafu mashabiki wa uzinzi wanashangilia kwa kuwaita wahusika shemeji, wifi na uozo mwingine! Cha kushangaza wamiliki wa huu mtandao wanafumbia macho uchafu huu wasipokuwa makini patageuzwa hapa na kuwa the "great danguro of JF."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…