Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,784
Nimeikuta hii somewhere, binti anaomba ushauri, binafsi nimeona kama ni uchuro flani flani hvi,
"Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na mimi nampenda na tumekwisha wahi kufanya mapenzi mara kadhaa. Yeye ameahidi kuwa atanioa. Sisi ni Waislamu, je ni sawa tunachokifanya kama sio sawa tufanyeje?"
Vp wanaJF mnalionaje??
"Mimi ni msichana wa miaka 23, nina kaka yangu baba mmoja na mama tofauti. Yeye ananipenda na mimi nampenda na tumekwisha wahi kufanya mapenzi mara kadhaa. Yeye ameahidi kuwa atanioa. Sisi ni Waislamu, je ni sawa tunachokifanya kama sio sawa tufanyeje?"
Vp wanaJF mnalionaje??