Wana uhakika kweli kuwa wako katika kuuliza? Au wanataka tu wasikie angalau mtu mmoja amesema hamna neno ili wajipe moyo kuwa wafanyacho ni sahihi?
Waache wazimu huo!
Hii nayo kali,hvi watu wengine wakoje?Hao nahisi wana mapepo,inawezekana vipi ufanye mapenzi na kaka yako?
lol, hawa wanajua wanachokifanya na walikisha kidhamiria.
Sasa kama mnashea baba ninyi si kaka na dada? Mwe!
Kamwambie huyo aliyukutuma kuwa wakatubu mbele ya mzazi wao (baba) na mbele za Mungu huo uchafu walioufanya na wasirudie tena hyo ni haramu.Pumbafu zao hawaoni watu wa nje hadi wanarudi ndani.
Hahahah laana imeingia duniani
huyu dada kama ana matatizo ya kisaikolojia aende akatibiwe
hivi anauliza upuuzi huu mbele za watu kweli
sina jibu hapa
kweli kama washafanya hayo yote kilichobakia wanatafuta justification ili wahalalishe huo wazimu! jamani mwenyezi mungu lazima huwa anjishangalia tu! hao waja wake, vituko!