Habari wadau
Ili swali kwa walio USA tu.
Nina rafiki yangu jina kapuni kaniagiza nimuulizie swali humu
Kaoa mnyamwezi na wana miaka karibia 3 na anayo green card ya miaka kumi
Tatizo bibie mkorofi anataka amuache je itaathiri permanent yake?
Kama hana mpango wa kuomba uraia, haitaathiri hata kidogo miaka kumi haina conditions. Ila kama anataka uraia itabidi avumilie au aiombe sasa hivi i think kesha qualify kuomba if he holds gc kwa miaka mitatu mfululizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.