Ndoa ngumu jamani

zegamba180

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
820
Reaction score
541
Mume na mke wapo kwenye ndoa ambayo hakuna mawasiliano ndani. Kila mtu anafanya lake. Lakini wenyewe bado wanajiita mke na mume wakiwa nje.
Siku moja mume alienda kanisa mke hakwenda. Aliporudi akamkuta mkewe anaangalia kipind Fulani kwenye TV.
Akamnyakua akimbeba juu juu mkewe, akianza kuzunguka nae sebule jikon.
Mke akashangaa sana hilo tukio, akamuacha mumewe afanye atakalo. Baada ya dk kadhaa zoezi likakoma.
Mk: mume wangu leo maajabu, umepatwa na nini hadi ukanibeba?!!!!
Mume: Padre akatuambia tukirudi majumbani kwetu tunyanyue misalaba yetu juu ili MUNGU atusaidie....!
Baada ya kauli hiyo ya mume sikujua kilichoendelea
 
Aya cut then paste kule jukwaa la jokes
 
ungesubiri ujue nini kiliendelea ndio ulete hapa.
 
Ha ha ha inafurahisha na pia inasikitisha.
Assume una ugomvi na mkeo takiriban miez miwili hakupi hata papuch halafu leo umetoka kazin. Anakupokea kwa bashasha na mabusu tele, unafikiri utafanyaje zaid ya kuduwaa kwanza km dk 5 hiv halafu anakuambia nilikuwa nakutania tu. Bifu letu liko pale pale. Si utazimia.
Ndoa hiz zina mambo kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…