Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Pengine wawezaa jiuliza kwanini?
Hii ni hali halisi na ukweli,
Habarini za asubuhi wapendwa ktk bwana natumaini Mungu amewawezesha kuikwepa folen ya asubuhi hii na kama bado basi si haba waweza tumiia mawazo haya kama stepstone yako kufungulia kinywa.
Kumekuwa na ndoa nyingiza zenye matatizo na hasa zile zinazofungishwa makanisani, wapo walioamini wanapo olewa watakuwa wakiishi kama peponi. La hasha napenda kuwapongeza wazazi wetu wa nyuma walikuwa wanajitahidi kutimiza upendo wa Agape, leo hii ukiuliza wengi kwa nini unaoa utapata majibu yafuatayo.
--Nahitaji mtoto
--Mke mzuri sana aisee siwezi kumuacha
--Wazazi wameni lazimisha yule ndie atakaenisaidia
--Ametoka kwa Mungu
--Nimeshauriwa na shangazi nimuoe
--Hana hela sana yule binti lazima niweke mambo yangu safi akiwa mkononi
--Aisee amesoma sana yule binti atatusaidia huko mbele
Na mengine mengi mno hayawezi kuja yote mahali hapa.
Sasa basi ukifwatilia kwa karibu utaona akuna Ndoa zenye upendo halisia, na ndio maana shetani anawakamata ndani ya mwezi mmoja mpaka sita amekamilisha kazi yake.
Kitu cha kwanza ninachoshauri ni vyema kabla ujaoa ujue ama kuuliza wakubwa nini maana ya ndoa?
Kitu gani kitakufurahisha ukiwa na ndoa yako? Napenda nikujuze shetani nae anaamini na kutetemeka, kama hutamwomba MUngu asimamie ndoa yako utaingia kwenye list ya guiness book kwa walioachwa amakuachika mapema.
Ukisoma Kitabu cha mwanzo utamuona Rahel, ni wa chache sana leo hii kwenye ulimwengu wa sasa kuliko Leah. Je ni kwa nini kila anaeoa anakamata Leah?
Je mi matamanio? ni kuoana bila UPENDO wa kweli?
Ndoa nyingi leo hii napenda kuweka wazi sio kusudi la MUNGU, kusudi la Mungu si mtengane kusudi la Mungu si kuanza kurushiana Ngumi kila siku iitwapo Leo.
Kusudi la Mungu sio kuabisha watumishi wake. lazima uwe makini unapoomba mke ama mume uombe Mungu akupe kusudi lake.
Kuna watu wameoana mpaka leo hii hata kusafishana Mgongo imekuwa kituo cha polisi. Hivi jiulize kule mgongoni nani anakusafishia kama utomsafisha umpendao jamani?
Ukisoma Kitabu cha AMOS kwenye baibo utaona inasema amwezi kutembea wawili kabla hamjapatana. Ndoa nyingi leo hii zimevamiwa na WEKUNDU WA MSIMBAZI, ZIMEVAMIWA NA AINA ZA MAGARI, MAJUMBA YA AINA MBALI MBALI.
Nini kimepelekea muoane je ni pesa aliokuwanayo mwenza wako? Je ni yale magari, utajiri alio nao? Wewe ndugu yangu wa karibu leo si mbaya kukuweka wazi hakuna Utajiri mzuri kama kuwa na Mke mwema Mwaminifu mkiwa Na MUNGU ndani yake.
Maisha yenu mnaongozwa na Yesu nakwambia haijalishi una magari mangapi aijalishi umesoma kiasi gani na kama elimu yako ingekuwa ya maana leo hii ma Prof wa mlimani wasingeachika Ndoa zao.
Hili ni swala muhimu sana kuwa makini usiweke CV yako kwenye Ndoa yako utalia. Dawa muhimu ni kmtanguliza Mungu, haijalishi una elimu gani mwenzio akiwa juu wewe jitahdi uwe chini hata kama ana makosa msubiri mkiwa sehemu ya furaha mjulishe unajua mwenzangu pale uliharibu.
Sio kwamba atuna shida wengine tulikuwa na hasira mbaya lakini wake zetu wametubadilisha.
Nanyi wa mama napenda kuwambiia laiti mkikaa katika nafasi zenu nawaambia akuna bar atakayogusa mumeo akuna machangu wataokao mgusa mumeo. Jitahdi ukae nafasi yako mlilie Mungu sema na Mungu usiache kulia kwa Mungu juu ya mwenzako.
Hakuna aliye sawa kumbuka babako na mamako hawaku zaliwa na wakwe zako, so hamuwezi kuwa na tabia sawa hata siku moja ila yupo mtu mmoja ambae ndie Bwana Yesu mkimwamini nakumtanguliza kwenye ndoa yenu hakuna Raha mtakayo acha kuiona.
Mwambie Mungu akupe mke kama Rahel, nakwambia Rahel anafungua channel hata kama huna kazi kupitia amani na upendo mlionao nakwambia kazi inakuja. Rahel anafungua channel za biashara eo hii kuna wanawake ukiwaoa ni nuksi tupu lakini na kwambia huyo huyo kama mwanaume ukichukua nafasi yako vyema hakuna atakaenyanyuka juu yako.
Kwa wanaume kama hamjui siri ya MUNGU wanawake ni DARAJA LA KUTOKEA KIMAISHA KAMA UAMINI MUUZI MKEO UONE, HATA DILI AZIPATAKANI HATA CHANNEL ZINAPOTEA.
WATCH OUT NITARUDI BAADAE KWA MAELEKEZO ZAIDI. MUNGU AWAPE KUWAPENDA WAKE/WAUME ZENU KAMA MNAVYYOPENDA WENZENU
MBARIKIWE
Hii ni hali halisi na ukweli,
Habarini za asubuhi wapendwa ktk bwana natumaini Mungu amewawezesha kuikwepa folen ya asubuhi hii na kama bado basi si haba waweza tumiia mawazo haya kama stepstone yako kufungulia kinywa.
Kumekuwa na ndoa nyingiza zenye matatizo na hasa zile zinazofungishwa makanisani, wapo walioamini wanapo olewa watakuwa wakiishi kama peponi. La hasha napenda kuwapongeza wazazi wetu wa nyuma walikuwa wanajitahidi kutimiza upendo wa Agape, leo hii ukiuliza wengi kwa nini unaoa utapata majibu yafuatayo.
--Nahitaji mtoto
--Mke mzuri sana aisee siwezi kumuacha
--Wazazi wameni lazimisha yule ndie atakaenisaidia
--Ametoka kwa Mungu
--Nimeshauriwa na shangazi nimuoe
--Hana hela sana yule binti lazima niweke mambo yangu safi akiwa mkononi
--Aisee amesoma sana yule binti atatusaidia huko mbele
Na mengine mengi mno hayawezi kuja yote mahali hapa.
Sasa basi ukifwatilia kwa karibu utaona akuna Ndoa zenye upendo halisia, na ndio maana shetani anawakamata ndani ya mwezi mmoja mpaka sita amekamilisha kazi yake.
Kitu cha kwanza ninachoshauri ni vyema kabla ujaoa ujue ama kuuliza wakubwa nini maana ya ndoa?
Kitu gani kitakufurahisha ukiwa na ndoa yako? Napenda nikujuze shetani nae anaamini na kutetemeka, kama hutamwomba MUngu asimamie ndoa yako utaingia kwenye list ya guiness book kwa walioachwa amakuachika mapema.
Ukisoma Kitabu cha mwanzo utamuona Rahel, ni wa chache sana leo hii kwenye ulimwengu wa sasa kuliko Leah. Je ni kwa nini kila anaeoa anakamata Leah?
Je mi matamanio? ni kuoana bila UPENDO wa kweli?
Ndoa nyingi leo hii napenda kuweka wazi sio kusudi la MUNGU, kusudi la Mungu si mtengane kusudi la Mungu si kuanza kurushiana Ngumi kila siku iitwapo Leo.
Kusudi la Mungu sio kuabisha watumishi wake. lazima uwe makini unapoomba mke ama mume uombe Mungu akupe kusudi lake.
Kuna watu wameoana mpaka leo hii hata kusafishana Mgongo imekuwa kituo cha polisi. Hivi jiulize kule mgongoni nani anakusafishia kama utomsafisha umpendao jamani?
Ukisoma Kitabu cha AMOS kwenye baibo utaona inasema amwezi kutembea wawili kabla hamjapatana. Ndoa nyingi leo hii zimevamiwa na WEKUNDU WA MSIMBAZI, ZIMEVAMIWA NA AINA ZA MAGARI, MAJUMBA YA AINA MBALI MBALI.
Nini kimepelekea muoane je ni pesa aliokuwanayo mwenza wako? Je ni yale magari, utajiri alio nao? Wewe ndugu yangu wa karibu leo si mbaya kukuweka wazi hakuna Utajiri mzuri kama kuwa na Mke mwema Mwaminifu mkiwa Na MUNGU ndani yake.
Maisha yenu mnaongozwa na Yesu nakwambia haijalishi una magari mangapi aijalishi umesoma kiasi gani na kama elimu yako ingekuwa ya maana leo hii ma Prof wa mlimani wasingeachika Ndoa zao.
Hili ni swala muhimu sana kuwa makini usiweke CV yako kwenye Ndoa yako utalia. Dawa muhimu ni kmtanguliza Mungu, haijalishi una elimu gani mwenzio akiwa juu wewe jitahdi uwe chini hata kama ana makosa msubiri mkiwa sehemu ya furaha mjulishe unajua mwenzangu pale uliharibu.
Sio kwamba atuna shida wengine tulikuwa na hasira mbaya lakini wake zetu wametubadilisha.
Nanyi wa mama napenda kuwambiia laiti mkikaa katika nafasi zenu nawaambia akuna bar atakayogusa mumeo akuna machangu wataokao mgusa mumeo. Jitahdi ukae nafasi yako mlilie Mungu sema na Mungu usiache kulia kwa Mungu juu ya mwenzako.
Hakuna aliye sawa kumbuka babako na mamako hawaku zaliwa na wakwe zako, so hamuwezi kuwa na tabia sawa hata siku moja ila yupo mtu mmoja ambae ndie Bwana Yesu mkimwamini nakumtanguliza kwenye ndoa yenu hakuna Raha mtakayo acha kuiona.
Mwambie Mungu akupe mke kama Rahel, nakwambia Rahel anafungua channel hata kama huna kazi kupitia amani na upendo mlionao nakwambia kazi inakuja. Rahel anafungua channel za biashara eo hii kuna wanawake ukiwaoa ni nuksi tupu lakini na kwambia huyo huyo kama mwanaume ukichukua nafasi yako vyema hakuna atakaenyanyuka juu yako.
Kwa wanaume kama hamjui siri ya MUNGU wanawake ni DARAJA LA KUTOKEA KIMAISHA KAMA UAMINI MUUZI MKEO UONE, HATA DILI AZIPATAKANI HATA CHANNEL ZINAPOTEA.
WATCH OUT NITARUDI BAADAE KWA MAELEKEZO ZAIDI. MUNGU AWAPE KUWAPENDA WAKE/WAUME ZENU KAMA MNAVYYOPENDA WENZENU
MBARIKIWE