Ndoa nyingi za kikristo zinaitaji kujivua gamba!!!


singo and not searching!
 
Duh mi ndio maana sina mood ya kuoa...ila ngoja niishike hii
 
Mkuu naomba nitoke nje ya mada kidogo, JE UNAWEZA NIPA TOFAUTI KATI YA LEAH NA RAHEL? NADHANI HAPO NITAELEWA SOMO VYEMA!

leah ukisoma kitabu cha mwanzo ni mwanamama aliempa shida sana mumewe kiasi cha kukata tamaa kabsa;ukisoma upande wa rahel huyu alikuwa binti mwenye baraka ambae kitabu kinasema ni wale hata kama auna kazi lakini hiyo faraja na baraka zake ni zaidi ya kazi..na pia ni mmoja wa wanamama wenye mbaraka nikimaanisha ukiwa nae aiitaji kwenda T#***kutafuta utajiri yaani Fedha zinakufwata zenyewe kama ni bussiness man channel zinakuja na watu wanakutafuta..nitakupashs zaid nikifika kwa ofisi ubarikiwe hope will work
 

Pearl umenena
Unajua nakwambia mpendwa wanawake wana nguvu sana tatizo awataki kusimama kwenye nafasi zao..nawambia dada zangu ,wammama
hata mumeo ana shida gani..kimbilia maombi piga sala nawaambia leo hii akuna atakaenyanyua mkono kushusha suruali labda tatizo lililopo wengi awajui jinsi ya kusali...nimefurahi hiyo sala na zaidi ukiwa unataakasa kwa damu akikisha umetubu kwanza ..toba ni muhimusana sana kama unaweza kila ukiamka asbh soma ZAB 51 YOTE AMA NEHEMIA 1:5-11 BAADA YA HAPO OMBA UTAKASO NTAMWAGA MISTARI JIFUNZE KUSALI HUKU UNAMKUMBUSHA MUNGU MISTARI AIJALISHI UMEKREMU KICHWAN UNAISOMA MUNGU ANASEMA NJOON TUSEMEZANE ASEMA BWANA WA MAJESHI....MUNGU ANAFURAHI UNAPOMKUMBUSHA MISTARI BAADA YA UTAKASO AAMURU MALAIKA WAKUSIMAMIE WASIMAME NA MUMEO KILA AENDAKO..LABDA SIRI TUSIOJUA KILA MTU ANA MALAIKA ZAKE WENGI WANSHINDWA KUWATUMIA MTUME MALAKIKA AKAPIGANE NA MATATIZO YA BOSI WAKO MUMEO BIASHARA ZAKO SIO MAPENZI YA MUNGU KUKAA OFISI ZENYE MATATIZO..TATIZO KUNA WATU AWAJUI SISI TUNA MAMLKA KULIKO MALAIKA..UNATAKIWA KUWATUMA WAO NI WATUMISHI WETU..UNAKUTA MALAIKA AMEKAA KWA MTU MPAKA AMEOTA KITAMBI ATUJUI KUWATUMIA TUMEN MALAIKA KWENYE MITIHAN ..YA SHULE NA MENGINEYO...BAADA YA HAPO UNAKEBEA UHARIBIFU JUU YA MUMEO AMA MKEO KWA KUUTAJA YERE 1:10 UNAKEMEA UNAONDOA UHARIBIFU WOTE TATIZO LILIPO WATU WANASOMA JUU BAIBI UKISOMA YER 1:10 UNAHARIBU NA KUKEMEA KILA UHARIBU WA NDOA UHARIBU WA TUMBO LA UZAZI OMBEA MBEGU ZA MUMEO MAANA KAMA MNAANZA UJUI NANI ANA MATATIZO ...KUNA WATU WAMEKASIRIKA MKIOANA YALE MANENO YANAFANYA KAZI..SO UKISHAMALIZA KUKEMEA YER 1:10 ANAKWAMBIA PANDA..UNAAPANDA KUTOKUARIBIKA..UNAPANDA UTULIVU KWA MUMEO AMA MKEO..UNAPANDA UZAO KWA MUMEO AMA MKEO..UNAPANDA WATOTOWENYE BARAKA WATOTO WASIO NA MATATIZO YA VIUNGO WALA CHOCHOTE UNAPANDA KILA KILICHO BORA..UJUE USALIPO SHETAN ANAKUSIKILIZA UNAPOONGEA NA KUHARIBU ANAKUSIKILIZIA THEN ANARUDI LAKINI UNAPOTAMKA UNAPANDA NEEMA UNAPANDA UZAO HATA YULE PEPO WA UTASA ALIETUMWA KWAKO ANAKUWA NGUMU KUKURIBIA...SO HOPE MMENIPATA WAPENDWA MKIOMBA MSIISHIE TU KUOMBA MUNGUAONDOE MATATIZO AKISHAONDOA IWEJE..TAMKA UNATAKA NINI BADALA YA MATATIZO
 


GAGA
Pokea haja ya moyo wako leo hii usiache kufight for youe destination...muda upo shetan imekula kwake this time..ndio maana tusiache kuomba kama uko na maombi maalum nishirikishe pengine hapa ni ngumu ni pm...kuna timing za kuchafua anga mpaka shetan anasema basi imetosha mwamshe mumeo aijalishhi anamka sangappi mkewangu anaamka sa kumi anaondoka kumnamoja jamani kwa nini tusipunguze usingizi usingizi ni dhambi kuendeleza inaleta uvivu,ntakuletea maandiko yake..pasua anga gaga nakuona unazidi kutoka kwenye ulimwengu wa roho Mungu akutie nguvu
 
Hata kwa daktari asiivue kama anaumwa?
 


haaahaaaa pearl
kuna mtu kafurahi sana alipkusoma ila kadai mmmh hiyo mbona unamfunga nira mumeo nikamwambia ili nkome akadai mmhh hiyo unaweza shtukiza spagetthi nkamwambia usiwe na shaka ikifika akittubu inarudi normal..tatizo letu ata toba kituo cha polisi
 
duh yani nimebarikiwa na zaidi ya kubaririkiwa,kweli umenifunza meeeeeeeengi ambayo nilikuwa siyajui,kwelio tuombe lolote ktk jina lake nasi tutapewa,Ubarikiwe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…