Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Salam dadaz na kakazz...natumaini mlitumia weekend yenu responsibly na kuimaliza salama.Nawatakia jumatatu njema na wiki kwa ujumla!
Tuanze kwa kukumbushana jambo au mawili especially kwa wanandoa na wale wanaozisogelea!!!
Honestly nimechoka kusikia mtu anapotoa lalamishi kuhusiana na simu ya mke wake...watu wengi utasikia ohhh kwanini unampekua...simu yake we ya nini??Hapo hujawasikia wahusika wenyewe!!!
Seriously guys...ndoa si inaunganisha wawili kua wamoja???Sasa iweje kwenye ndoa kuwe na changu badala ya chetu??
Ushauri binafsi....kama mtu hauko tayari kuacha ubinafsi na mawazo ya changu changu subiri mpaka utakapokua comfortable na mawazo ya chetu.
Hayo mawazo ya simu yangu....kile na hiki changu ni ya kipindi cha upenzi...wakati bado hamjaamua kua kitu kimoja.
Hata mwili ukiwa ndoani sio wako tena!!Ni mali ya mwenzako as well....sasa unapoenda kutembeza mali ya mwenzio kwa mpango wa kando...kina dada poa....shamba boy na vidumu unajua kwamba hauna mamlaka hayo???
Embu ngoja nivute kaBible kangu ili tuelewane vizuri!!!
Wakorintho 7:4 inasema ''Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe.Hivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake bali mkewe.''
Hivyo basi....itunzeni miili yenu kwa niaba ya wenzi wenu kwasababu nyie ndo mnatembea nayo.Na muache ubinafsi kwenye ndoa.......hii inahusu hata swala la kunyimana unyumba!!!
Wakorintho 7:3 na 7:5 inasema hiviii ''Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.'' ila sio mu-overdo mpaka kulazimishana ikiwa mmoja hajisikii.....''Msinyimane isipokua mmepatana kwa muda, ili mpate faragha na kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokua na kiasi kwenu.''
Kwahiyo msinyimane wala msilazimashane!!Peaneni muda wa kupumzika ikiwa mmoja wenu anahitaji.....COMPROMISE...COMPOROMISE and MORE COMPROMISE itasaidia sana kupunguza nyumba ndogo and the likes!!
Nawakilisha!!!
Tuanze kwa kukumbushana jambo au mawili especially kwa wanandoa na wale wanaozisogelea!!!
Honestly nimechoka kusikia mtu anapotoa lalamishi kuhusiana na simu ya mke wake...watu wengi utasikia ohhh kwanini unampekua...simu yake we ya nini??Hapo hujawasikia wahusika wenyewe!!!
Seriously guys...ndoa si inaunganisha wawili kua wamoja???Sasa iweje kwenye ndoa kuwe na changu badala ya chetu??
Ushauri binafsi....kama mtu hauko tayari kuacha ubinafsi na mawazo ya changu changu subiri mpaka utakapokua comfortable na mawazo ya chetu.
Hayo mawazo ya simu yangu....kile na hiki changu ni ya kipindi cha upenzi...wakati bado hamjaamua kua kitu kimoja.
Hata mwili ukiwa ndoani sio wako tena!!Ni mali ya mwenzako as well....sasa unapoenda kutembeza mali ya mwenzio kwa mpango wa kando...kina dada poa....shamba boy na vidumu unajua kwamba hauna mamlaka hayo???
Embu ngoja nivute kaBible kangu ili tuelewane vizuri!!!
Wakorintho 7:4 inasema ''Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe.Hivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake bali mkewe.''
Hivyo basi....itunzeni miili yenu kwa niaba ya wenzi wenu kwasababu nyie ndo mnatembea nayo.Na muache ubinafsi kwenye ndoa.......hii inahusu hata swala la kunyimana unyumba!!!
Wakorintho 7:3 na 7:5 inasema hiviii ''Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.'' ila sio mu-overdo mpaka kulazimishana ikiwa mmoja hajisikii.....''Msinyimane isipokua mmepatana kwa muda, ili mpate faragha na kusali; mkajiane tena, Shetani asije akawajaribu kwa kutokua na kiasi kwenu.''
Kwahiyo msinyimane wala msilazimashane!!Peaneni muda wa kupumzika ikiwa mmoja wenu anahitaji.....COMPROMISE...COMPOROMISE and MORE COMPROMISE itasaidia sana kupunguza nyumba ndogo and the likes!!
Nawakilisha!!!