CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
POA KWELI!! Hapo hakuna kuwekana roho juu..? Mara "napiga simu hapokei, meseji hajibu... sijui yuko wapi, sijui anafanya nini?" Mara "mbona leo yuko hivyo nikimuuliza jambo mkali, kama nimemkosea si aniambie.." HAKUNA HIYO ameepusha msongamano!!
Sasa kule u/taifa anachezaje peke yake?
Mwanamke mmoja raia wa Marekani amewashangaza wengi baada ya kuandaa harusi na kujioa mwenyewe kwa kula kiapo mbele ya kadamnasi.Mwanamke huyo kwa jina Nadine Schweigert mwenye umri wa miaka 36 amekua gumzo kwenye vyombo vya habari kutokana na kitendo hicho cha kuandaa harusi na siku ya siku yeye mwenyewe alikua bibi harusi na huyohuyo akawa bwana harusi.
Chanzo:gazeti la Habari leo.