Ndoa ya Irene Uwoya, Marufuku kuingia na simu Ukumbini

Kama ni salaah basi huyu mdada anaenda kutoa Uduma ya mtandao pendwa
 
Yaani kuna,watu wana hatari sana..demu limeungua hili kitambo limekaa mwananyamala kwenye councelling 4 months ..wakina nditi wa katalunya wamefumua marinda na kulipaka upupu mpka basi leo mtu anaoa..vijana wa siku hizi kufa hawaogopi kabisa

Hii habari ina 95% za ukweli msiniulize kwa nini
 
Asingewaalika sasa kuliko na kuwafanyia hivyo
Kwani kimearibika nini!?, tatizo lenu mnapenda kujiself ktk mambo yasiowahusu.

Ahsante Irine kwa kuonesha njia, hiyo ndio dawa ya visokolokwinyo.
 
Qumer haizeeki jamani mwacheni Danube aendelee kuitanua. Hongera zake.
 
Hivi kwa nini watu wanamshambulia sana Irene hivi nyie wanaume wa hum mna akili kweli? Hao mademu zenu mbona na ninyi mnawala ila akiliwa Irene ndo anaonekana wa ajabu[emoji57] [emoji57] [emoji57] acheni ushamba

Naona uwoya umeamua ujitokeze mwenyewe
 
Ndio mana nkakuambia mario mana kuna mario type mbili kuna full mario baloteli yeye analelewa tu hata bei ya kijiko hajui,halafu yuko mario huyu analelewa ila anajituma
Kwa hiyo janja ni type 1 au 2
 
ina maana simu za waalikwa zote zilikusanywa kwenye kikapu!!!!.tabu yote ya nini si angefunga ndoa ya mkeka tu, wangehudhuria wazazi na sheikhe tu harusi kwisha


Kwani mkuu hao waalikwa bila simu hawawezi kuhudhuria hiyo ndoa? Kwani macho yao yapo kwenye simu au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…