Ndoa ya Irene Uwoya, Marufuku kuingia na simu Ukumbini

Yaani nikiona watoto wazuri huku mjini hawana wakuwaoa roho inauma sana.kuna wanawake wazuri sana jamani yaani kila ataemuona machoni atakubali lakini ajabu bado watu wanafata makoho kama hili yaani speed mita inasoma kama ya chombo kilichoenda mwezini na kurudi
 
Yaani kuna,watu wana hatari sana..demu limeungua hili kitambo limekaa mwananyamala kwenye councelling 4 months ..wakina nditi wa katalunya wamefumua marinda na kulipaka upupu mpka basi leo mtu anaoa..vijana wa siku hizi kufa hawaogopi kabisa
 
Yaani kuna,watu wana hatari sana..demu limeungua hili kitambo limekaa mwananyamala kwenye councelling 4 months ..wakina nditi wa katalunya wamefumua marinda na kulipaka upupu mpka basi leo mtu anaoa..vijana wa siku hizi kufa hawaogopi kabisa
Kuogopa kifo haina maana yeyote maana lazima ufe tu.
 
Mwarabu atakuwa anahitaji huduma ile ya mtandao pendwa.

Angekuwa serious anahitaji mke angeoa mwarabu mwenzake ukoo wowote anachukuwa binti, qualification muhimu kwa waarabu ni pesa na yeye anazo.

Hamna ndoa hapo anahalalisha huduma tu.
Inasemakana lkn kwa hako kamchezo ni fundi haswaa.
 
Yaani kuna,watu wana hatari sana..demu limeungua hili kitambo limekaa mwananyamala kwenye councelling 4 months ..wakina nditi wa katalunya wamefumua marinda na kulipaka upupu mpka basi leo mtu anaoa..vijana wa siku hizi kufa hawaogopi kabisa
Hata yule jamaa yake aliefariki si alikuwa anaenda mwananyala kwa siri kuchukua dozi kwasiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…