Ndoa ya Jay Dee na Gardner Habash yavunjika


Mmh ni habari nzito sana hizi!
 

Kuna Jamaa anaitwa Daudi wa kota ni balozi wa chamelion kwa hapa tanzania jamaa alikuwa dereva wa bodaboda lakini sasa ni superstar na anaingiza mamilioni inawezekana na yeye kashaingia kwenye ziwa victoria kwa hiyo wanaotaka utajiri nao wamfate daudi wa kota atawaunganisha na chamelion.
 

Aisee....
 

 

Mkuu hayo mambo yasikie tu, unaweza dhani ni story za uongo na za kuokota vijiweni, kumbe siyo kila story ni za vijiweni na siyo kwamba story za vijiweni ni za uongo siku zote, hapana
 
gadna akienda mahakama ya kinondoni na kibonde. kumbe kaachika ndo anajirudisha clouds taratibu ili asaidie mashambulizi dhidi ya bibie.
cc: TATIANA
 

Attachments

  • 1407937506925.jpg
    26.9 KB · Views: 460
Last edited by a moderator:
Hilo neno Marioooo Naona linashika kasi sana...... Lina maana gani?
Lilianzia wapi wakuu?
Linavyotumika Kwa hawa ndugu najikuta nacheka tu.....
Please help me guyz...
 
Naona jide kaweka status fb, kuwa kuna kitu anataka akiongelee ingawa hajui fans watamuelewaje but anataka mkisikie kutoka kwake na sio kwa mtu mwingine. Stay tuned
 
Hilo neno Marioooo Naona linashika kasi sana...... Lina maana gani?
Lilianzia wapi wakuu?
Linavyotumika Kwa hawa ndugu najikuta nacheka tu.....
Please help me guyz...

»Umofia kwako ndugu?
Mario ni vijana wadogo wanaotafuta mashugamammy ili walelewe
»Mario ni lisong la madilu system na huko ndio lilipopatia umaarufu.

Lingala to English Translation:
~~~~~~~~~~
Franco Luambo : Mario Lyrics, words, translation
Oh Mario
Luka ata mwasi yo moko obala - OH MARIO,
LOOK FOR ONE WOMAN TO MARRY
Mario mosala kolinga ba mama mobokoli - YOU
HAVE A TENDENCY TO GO AFTER OLDER
WOMEN
Basuka yo te ? - WILL YOU EVER GET ENOUGH
OF THEM?
Lelo makambo lobi makambo nalembi - TODAY
PROBLEMS, TOMORROW PROBLEMS IM TIRED
Lelo bitumba lobi koswana nabaye - TODAY
FIGHTING, TOMORROW QUARRELLING, I HATE IT
Naboyi kobebisa nzoto na manzaka nalembi eh -
I DONT WANT YOU DESTROYING MY BODY WITH
YOUR NAILS ANYMORE
Mario nalembi e e - MARIO AM TIRED
Mario nabaye e e - MARIO I DONT LIKE IT
Oh Mario nasi napekisa yo
Kolingaka basi bazali na mbongo -
(MARIO I HAD SINCE DISCOURAGED YOU FROM
HAVING AFFAIRS WITH MONEY)
Yoka ndenge azali kokaba yo na mitema ya basi
mpe mibali -
(LISTEN TO HOW SHE IS TALKING NEGATIVELY
ABOUT YOU TO LADIES AND GENTLEMEN)
Sala quand mme effeot oluka mosala Mario –
(MAKE AN EFFORT AND GET YOUR SELF A JOB
MARIO)
yo mutu ozali na ba diplomes mitano Mario -
(YOU ARE A MAN WITH 5 DIPLOMAS MARIO)
Mpona nini ozali kobebisa kosambuisa kombo
nayo-
(WHY ARE YOU DESTROYING AND DISRACING
YOUR NAME/REPUTATION)
Mario ah nalembi - (MARIO AM TIRED)
Ba produits ngai napokaolaka nzoto ekoma
sembe sembe -
(THE COSMETIC PRODUCTS I APPLY ON MY BODY
HAVE MADE MY BODY SOFT AND TENDER)
Okobeteke ngai ti na zoka lobi na zwa maladie
ya cancer -
(YOU BEAT ME UP TILL I BLEED AND GET
WOUNDED,TOMORROW I MAY END UP WITH
CANCER)
Lobi tango na kopolo yo okimi ngai eh -
(TOMORROW WHEN I START ROTTING YOU WILL
RUN AWAY FROM ME)
Mario nalembi eh - (MARIO AM SICK AND TIRED)
Bima bima na ndako na ngai Mario - (GET OUT
GET OUT OF MY HOUSE MARIO)
Mpo na nininiongo ya kolinga - (IS IT
INDEBTNESS OF LOVE?)
Akobeteke ngai na zwa epayi zuwa ya lokuta
epayi
Zuwa ya biloko akutaki ngai na yango -
(HE BEATS ME UP OVER SIMPLE JEAOUSY, OVER
SIMPLE LIES AND OVER PROPERTY,
PROPERTY HE FOUND IN MY HOUSE)
Likambo mosusu mosala koboma biloko ya
ndako na somba -
(ANOTHER THING THAT HE DOES IS
DESTROYING PROPERTY IN MY HOUSE, STUFF
THAT I
MYSELF BOUGHT)
Nalembi eh Mario na baye yo - (AM TIRED EH
MARIO I HATE YOU)
Kende Mario nalembi yo oh - (GO YOUR WAY
MARIO AM TIRED)
Mario akuti ngai na biloko mobali mosusu
asomba -
(MARIO FOUND ME WITH PROPERTY, SOME THAT
WAS BOUGHT BY ANOTHER MAN)
Oyoka elengi ya kovanda te Mario ? - (DO YOU
ENJOY SITTING IDLE?)
Oyoka elengi te olia na mesa ? - (DONT YOU
ENJOY EATING ON THE TABLE?)
Kaka soki zuwa ekangi yo na poitrine- (SO WHAT
IF JEALOUSNESS OVERCOMES YOU)
Olingi kaka kobeta ngai na koboma biloko –
(ALL YOU DO AND LIKE IS BEATING ME UP AND
DESTROYING PROPERTY)
Mario si na salisa yo mingi - (MARIO I HAVE
SINCE HELPED YOU A LOT)
Diplome ya sima ngai na salisaki yo Mario - (I
HELPED YOU GET YOUR LAST DIPLOMA)
Bongo leleo ngai nakomi mwasi mabe ? - (BUT
TODAY AM NOW A TERRIBLE WOMAN)
Mario likambo te - (NO PROBLEM MARIO)
Ah mokili eza kaka boye hum - (AH SUCH IS
LIFE, THATS HOW THE WORLD IS)
Mobali akuti ngai na bomemgo
Asengi akomander ngai na ndimi -
(THIS MAN FOUND ME ENJOYING GOOD LIFE, HE
LITERALLY REQUESTED TO COMMAND ME
AND I ACCEPTED)
Mobali akuti ngai na bangenge
Asengi adiriger ngai na ndimi -
(THIS MAN FOUND ME ENJOYING WEALTH, HE
ASKED ME TO TAKE OVER CONTROL AND I
ACCEPTED)
Nabandi kobima na ye babandi kobenga ye
Monsieur -
(WHEN I BELOVED HIM EVERYBODY STARTED
ADDRESSING HIM AS MISTER)
Mario nale mbongo ya likelemba mitu tuku
misato
Nasombi Mercedes 190 nayebisi Mario mokolo
mosusu tobima -
(I BOUGHT MY SELF MERCEDES BENZ 190 AND
ONE DAY I ASKED MARIO THAT WE GO OUT
FOR FUN)
Tokende kosala promenade - (LETS GO MERRY
AND HAVE PROMENADE)
Tokomi na nzela Mario alobi na ngai
Y o zonga coto ngai ngai na zali -
(WHEN WE REACHED THE ROAD SIDE MARIO
ORDERED THAT I TAKE HIM BACK WHERE HE
HAD BEEN)
Nakumba voiture mpo bamona que ngai
Moto nasombeli yo yango -
(SO THAT PEOPLE CAN THINK THAT ITS HIM
THAT BOUGHT THIS CAR )
Nayebisi Mario te - (I TOLD MARIO THAT WASNT
POSSIBLE)
Ngai kutu na za na posa na kumba eloko
nasombi sika -
(I STILL HAVE THE DESIRE TO DRIVE MY BRAND
NEW FLASHY CAR)
Bato nionso bamonaque ngai moto nasombi -
(SO THAT PEOPLE REALISE THAT AM ACTUALLY
THE PERSON WHO BOUGHT THE CAR)
Toweli volant ngai na Mario - (WE FOUGHT OVER
THE STEERING WITH MARIO)
Mario atuteli ngai voiture na nzete - (MARIO HIT
MY CAR IN A TREE)
Nzoto ezali nanu ya meme olingi obebisa ngai
elongi -
(MY BODY IS STILL YOUTHFUL AND BEAUTIFUL
BUT YOU WANT TO DESTROY MY FACE)
Il paraot basi nionso ozwaka mosala kobebisa
bango bilongi -
(HIS HABIT HAS BEEN BRUISING FACES OF ALL
HIS FORMER GIRLFRIENDS)
Epayi na ngai na stopper nalembi yo -
(WITH ME IT WONT BE LIKE THAT AM SICK AND
TIRED OF YOU)
Mario papa na baye yo oh - (MARIO I HATE YOU)
Kende na yo nalembi yo - (MARIO I HAVE HAD
ENOUGH OF YOU)
Mario azongi epayi ya baboti
Akuti mbeto na ye ya bomwana-
(MARIO WENT BACK TO HIS PARENTS HOME AND
FOUND HIS CHILDHOOD BED)
Ekomi tango ya kolala mbeto mokuse makolo
milayi Mario-
(WHEN IT WAS BEDTIME HIS LEGS WERE TOO
LONG FOR HIS CHILDHOOD BED)
Mario nalembi somba mbeto na baye e-
(MARIO AM TIRED, BUY YOUR OWN BED AM SICK
AND TIRED)
Koyoka motema pasi te ndako ngai moko
nafutaka
(LET YOUR HEART NOT BE TROUBLED, AM THE
PERSON WHO PAYS FOR MY HOUSE RENT)
Bilamba nasombela yo natikeli yo souvenir ya
bolingo-
(WHAT EVER I BOUGHT YOU WHEN WE WERE IN
LOVE, KEEP IT AS SOUVENIR OF OUR LOVE)
Oyo ezali na lavage nakotindela yo na bato-
(WHAT IS IN THE WASHING BASKET I WILL GIVE
IT TO OTHER PEOPLE)
Mario nale mbi yo oh - (MARIO AM TIRED OF
YOU)
Kende na yo na baye yo oh - (GO YOUR WAY I
HATE YOU)
~~~~~~~~~~~
 

Kwakweli Mkuu King Kong III umenifurahisha sana kwa hili song. Limeleta maana halisi. Kwahiyo vijana "They are busy looking for Old women to marry" Sasa wanaendekeza michepuko ya rika lao..... Hahahaha.....Mario Mtunza bustani amerudi kwao.
 
Last edited by a moderator:
Naona jide kaweka status fb, kuwa kuna kitu anataka akiongelee ingawa hajui fans watamuelewaje but anataka mkisikie kutoka kwake na sio kwa mtu mwingine. Stay tuned

Hata me nimeiona tusubiri kwa hamu tusikie... na IG kuna mtu alimuuliza mbona anaweka picha za watu tofauti tu ya mumewe haweki.

Na hii ishu ya mumewe kwenda mahakamani leo na kibonde vipi yeye alienda? Au kama Flora Mbasha.
 
Gardner zile raba zake wakati anaenda mahakamani zilikua chafuuu.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…