aspen JF-Expert Member Joined Jul 13, 2011 Posts 501 Reaction score 166 Feb 11, 2013 #1 Wakuu utaratibu wa ndoa ya kiserikali upoje kwa wenye uelewa mtusaidie kwa hili tafadhali
kabiriga JF-Expert Member Joined Nov 18, 2012 Posts 1,109 Reaction score 1,171 Feb 11, 2013 #2 Unataka kufunga ndoa ya kiserikali au unauliza kama kama bado zipo? sijakuelewa
EMT Platinum Member Joined Jan 13, 2010 Posts 14,477 Reaction score 15,325 Feb 12, 2013 #3 aspen said: Wakuu utaratibu wa ndoa ya kiserikali upoje kwa wenye uelewa mtusaidie kwa hili tafadhali Click to expand... Kwani kuna ndoa ambazo siyo za kiserikali?
aspen said: Wakuu utaratibu wa ndoa ya kiserikali upoje kwa wenye uelewa mtusaidie kwa hili tafadhali Click to expand... Kwani kuna ndoa ambazo siyo za kiserikali?
Chum Chang JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 999 Reaction score 272 Feb 12, 2013 #4 Ndoa za serikali ziko na utaratibu wake ukitaka kuuuelewa vzr nendo kwenye ofiso za wakuu wa wilaya )Bomani(
Ndoa za serikali ziko na utaratibu wake ukitaka kuuuelewa vzr nendo kwenye ofiso za wakuu wa wilaya )Bomani(