Ndoa ya Martha Mwaipaja haipo tena?

Mkuu asikudanganye mtu sumbawanga wote ni wachawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe humjui Martha Mwaipaja.Pichq Iyo imetokea vibaya tu.Kati Ya waimbaji Bomba kwa sura Na shepu Ni Martha kama huamini tembelea page yake ya Insrao @marthamwaipaja.Dada Ni mrembo kupita maelezo.Hiyo Picha yaelekea aliyepiga alitumia techno whatever
Ana sura ngumu...kama siku ya harusi ndio kapigwa make up lkn bado muonekano ndio huu.


Samahani lkn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Dada alikuwa muumuni wake.Mana Baada ya kutengana Martha Na Huyo Baba mchungaji kila MTU alifungua kanisa lake.Huyu Baba akibaki Ba waumini wake Na wanaomkubari Martha wakahamia huko.I think Tabata.Chanzo cha mgogoro Na hatimaye kuvunjika kwa ndoa.Inasadikika mume alianza kuwatamani wana kondoo wake Na martha Mara kadhaa kumfuma.Dada wa watu akiimba nyimbo za mialiko akilipwa Pesa anapeleka kwa Bwana ili kanisa lao likue bwana Handsome boy anahonga.Martha anaona bora nikimbie.(chanzo Rafiki wa karibu Na Martha)
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…