Ndoa ya Mnec Anthony Mavunde

Ndoa ya Mnec Anthony Mavunde

Super Handsome

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2013
Posts
3,844
Reaction score
6,448
Ndoa ya mwanasiasa na msomi Anthony Mavunde iliyofungwa jumamosi ya Tar 27 yafana, ndoa hiyo iliyo hudhuriwa na viongozi, wanasiasa na watu mashuhuri nchini inatajwa kuvunja rekodi ya mkoa wa dodoma.

Anthony Kijana wa meya mstaafu wa Dodoma na MTU anaetajwa kuwania ubunge wa mji wa Dodoma.
Harusi hiyo ili hudhuriwa pia na waziri mkuu Mh.Mizengo pinda
 

Attachments

  • 1411983305658.jpg
    1411983305658.jpg
    47.8 KB · Views: 1,082
  • 1411983408140.jpg
    1411983408140.jpg
    44.5 KB · Views: 1,163
  • 1411983972967.jpg
    1411983972967.jpg
    46.5 KB · Views: 993
  • 1411984316917.jpg
    1411984316917.jpg
    83.9 KB · Views: 996
  • 1411984396011.jpg
    1411984396011.jpg
    62.4 KB · Views: 933
Ndoa ya mwanasiasa na msomi Anthony Mavunde iliyofungwa jumamosi ya Tar 27 yafana, ndoa hiyo iliyo hudhuriwa na viongozi, wanasiasa na watu mashuhuri nchini inatajwa kuvunja rekodi ya mkoa wa dodoma.

Anthony Kijana wa meya mstaafu wa Dodoma na MTU anaetajwa kuwania ubunge wa mji wa Dodoma.
Harusi hiyo ili hudhuriwa pia na waziri mkuu Mh.Mizengo pinda

samahi mkuu kati yao hao wanandoa nani ni celeb?
 
Sasa wewe ya mgombea ubunge mtarajiwa yanatoka wapi? wee tuletee tu hizo picha za harusi za watoto wa vigogo,siku hizi unec, ubunge na ajira nyingine ni za watoto wa vigogo hiyo tunajua.Pia ya kusema hata Pinda alikuwepo haitusaidii ,tusiwe kama Wakenya ambao huingiza mambo ya siasa hata kwenye misiba.
 
Duh hii fukua makaburi hii balaa, nikatoka mbio nikidhani kuna jipya kwenye hiyo ndoa kumbe wapi!!
 
Halafu wewe mwenzangu wa kaskazini usifanye hivyo
Kaskazini sijakuekewa au maana kaskazini ndio kwetu.huko nilisoma tu kwetu kiasiri Mwanza acha kujikomba au wewe ni Mavunde mnaona Bashite anawafunika mnafukua nyuzi za miaka
 
Halafu wewe mwenzangu wa kaskazini usifanye hivyo
Hii tabia ya Ukaskazini itawaponza milele.

Kaskazin mmezungukwa na nyumbu ambao hawapigi kura hata iweje hamtakuja kuwa na kura za kutosha.

Cha msingi badilisheni tabia muitangulize nchi kwanza sio huo upuuuz mnaouleta hapa
 
Back
Top Bottom