Ndoa ya serikali kama zilivyo ndoa nyingine zinazofungwa hapoa Tanzania kama vile za madhehebu ya kidini, zinazofungwa kimila zote zinzsimzmiwa na sheria ya ndoa ya mwaka 1971. Baadhi ya masharti muhimu ni pamoja na
1.Ndoa ni lazima itangazwe kwa siku 21
2. Siku ya kufunga ni lazima wanandoa waende na mashahidi wao
3. Ndoa lazima iwe kati ya mwanaume na mwanamke wenye umri iliokubaliwa kisheria
4. Siku ya kufunga ndoa wanandoa watakula kiapo na kusaini vyeti vya ndoa
5. Masharti mengine ni kama yalivyo fafanuliwa kwenye sheria ya ndoa ya 1971