Atahisi dunia inamzomea. Nyota zingine Allah ndo anajua.Dah huyu Dada mbona anapitia mitihani migumu hivi!? Nimesikia uchungu mno baada ya kuona kwenye mitandao kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na nikapata uthibitisho kwenye radio kipindi cha dida. Kwanza kabisa namuombea apone then mengine ndo yatafuata.
Maelezo ya kina tafadhari kwa mfano, Wastara anajishughulisha na ...................
Aliolewa tarehe ...................na fulani .......
Kaachwa kwa sababu ya ......................
Sio wote tunawajua watu wote hapa mjini.
Imevunjika kwa sababu zipi?yamkini yeye ndo mwenye shida!Dah huyu Dada mbona anapitia mitihani migumu hivi!? Nimesikia uchungu mno baada ya kuona kwenye mitandao kuhusu kuvunjika kwa ndoa yake na nikapata uthibitisho kwenye radio kipindi cha dida. Kwanza kabisa namuombea apone then mengine ndo yatafuata.
Huwa nikikutaga habari siijui au wahusika siwajui huwa napitaga kushoto, sio lazima kujua kila kitu.Mkuu kama hujui yote haya kuhusu huyu dada basi ujue habari haikuhusu.
Anyway, mimi pia simjui nasubiri ujibiwe na mimi niokotezee hapo.
nyota ya popo!/
Ni hii ndoa ya juzi na mheshimiwa Fulani au?
mh.awe na roho ya ubinaadam tafadhali,apate sunna.
Huyu ndie alikua mke wa Sajuki ??
Duu basi huyu dada kapitia majaribu ,halafu na yeye si ana mguu mmoja au ??Kisha Mh.Sadifa (Misifa)