Inavyoelekea una hamu sana ya mtoto wakati mwenzio hana mpango wa kuwa na mtoto hivi karibu.Kwa mtizamo wangu suala la mtoto mlipaswa kujadili mkiwa bado wachumba.Hata hivyo hamjachelewa,Kaeni chini mufikie muafaka mnataka kuwa na watoto wangapi na lini.Mengine sameheaneni ikiwezekana muweke wazi kuwa una wasiwasi ili jambo hilo lisiendelee kukuuma.