Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Ndoa bora ni ile ambayo wanandoa mko imani moja. Hata kama kutatokea matatizo chanzo si imani, ila hao wa bomani tatizo laweza kuanzia na imani au imani ikachochea tatizo jingine
Ndoa nyingi zinazovunjika tatizo si imani,matatizo makubwa ya ndoa mara nyingi hua,usaliti,ubabe,kutopata mtoto,kukosa uwazi,ubinafsi na siku hizi limejitokeza lingine ambalo ni uchovu wa kiuchumi hasa kwa mkuu wa kaya.
Kwa hiyo tatizo likiibuka,watu hutumia dini kulitatua, ambapo sasa,mmoja anakuwa haelewi ni kwa vipi suluhu ipatikane kwa kufuata misingi ya dini asiyoijua. Nawasilisha hoja.
Ndoa bora ni ile ambayo wanandoa mko imani moja. Hata kama kutatokea matatizo chanzo si imani, ila hao wa bomani tatizo laweza kuanzia na imani au imani ikachochea tatizo jingine
Ndoa nyingi huwa zinavunjika kwa matatizo mengine tu! Imani sio tatizo la kufanya watu wasiishi kwa furaha kwenye ndoa zao. Kama wanandoa wamekubalia kuishi kila mmoja na imani yake hapo hakuna tatizo kabisa.