ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Jamani najua kuwa vijana wengi tunajikuta ktk wkt mgumu hasa baada ya kuingia ktk maisha ya ndoa, ila nafikiri hatujui tatizo ni lipi mpaka tunafikia hatua ya kuishi na wake zetu wiki 1 au mwezi 1. Hii ni kutokana na kutamani mwanamke kwa muonekano wa nje bila kumjua kiundani yaani ( tabia) eti kisa kapendeza kama nokia ya kichina kumbe ndani yaani taabia ni feki . Kutokana na muonekano wake tunafikia hatua ya kuchumbia kwa muda mfupi na kuoa, hvyo tuwe mkn ktk kuchumbia ili kepukana na ndoa za kichina.