Ndoa za siku hizi

Au sio yule wa masaki vipi
Leo jioni nitakuwa hapo water fromt kumuona huyo mrembo. Aisee atanifilisi bila yeye kujua. Pisi imesimama ile nyie.
Alafu hapo water fromt nilikuwa kwendaga na mrembo mmoja sio hiyo nae alikuwa hot hotter hottest
 
sex is easy to get and cheap + watu wanataka maisha huru.
 
Wengi wetu wanaingia ndoani kwa kufuata mkumbo, hawajui nn maana ya ndoa. Wao wanafurahia sherehe znazofanyika wakati wa harusi na zile zawadi watunzwazo kipind cha sherehe za harusi bila kujua undani wa jambo husika, inasikitsha sana. Hawajui chochote weng wao......wanadhani ndoa ni kunjunjana tuu 😔.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…