Ndoa zimetengeneza vichaa wengi sana

Ndoa zimetengeneza vichaa wengi sana

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kabisa sana yaani unayotarajia sio unayoyakuta kama wanawake ndo wanapitia mengi Mungu awatie nguvu wanawake wote walioolewa au kuzaa.

1729101347034.jpg
 
Mirembe hakuna vichaa wwwwe
Huku kwenye mahusiano ndo Kuna vichaa sasa
 
muda unavyoenda mirembe wataraajie kupokea wageni wengi sana
 
Mm bado kuvua nguo na kuokota makopo😂😂😂😂😂
 
haya n majibu ya wanandoa wapendwa woii usifikirikwakoo tu
 
amri
Wengine tumesha changanyikiwa siku nyingi unajukuta unaimba nyimbo ya kihindi kwa sauti tena barabarani mpaka watu wana kushangaa
 
Josephine
Kabisa siyo uongo na ukatili
 
Frank
Hii kweli mkuu zaidi wanaume
 
Fuadhia
Na ili uishi kwenye ndoa lazima mmoja kati yenu awe mwehu mwehu😂
 
Na hasa hapa kwetu tz yaani cku hizi idadi ya watu wanaoongea peke yao barabarani imeongezeka.kumbe ndio mana
 
Ty
 

Attachments

  • 1729101884378.jpg
    1729101884378.jpg
    79.2 KB · Views: 3
Sio kila mtu atakuelewa kwa mara ya kwanza utakapomuambia au atakapokusikia.

Kuna watu wengi sana wanakata tamaa kwa sababu kuna mtu walitarajia awaelewe na awasapoti ila walipokutana naye hawakufanya hivyo.

Hii ni kawaida, wala isikukatishe tamaa kabisa.

Kuna watu itachukua muda sana kukuelewa.

Usiwachukie wala usiwalalamikie, inawezekana hata ingekuwa wewe ungechelewa pia.

Kama una wazo, kipaji au biashara.

Ni lazima uwe na uwezo wa kukabiliana na HAPANA nyingi iwezekenavyo bila kukata tamaa kabisa.

Usiogope kukataliwa, ni sehemu ya kuelekea kukubaliwa.

Unaikumbuka ile kanuni niliwahi kukufundisha ya SWSWSWSW (Someone Won’t, Someone Will, So What Someone is waiting).

Mwingine atakataa, mwingine atakubali, wewe usijali, kuna mtu ANAKUSUBIRI huko mbele).

USIKUBALI HAPANA MOJA IKATISHE NDOTO YAKO!
 
Unamkuta mtumishi yuko barabarani anapiga gitaa hewa
 
Pia edit picha uliyoattach iwe full image ndio tutaiona vizuri
 
Back
Top Bottom