Ndoaya JUX ikiwa Bado changa, Wahuni wanataka kuivunja. Heti mtoto wa Vannesa ni Jux mtupu

Ndoaya JUX ikiwa Bado changa, Wahuni wanataka kuivunja. Heti mtoto wa Vannesa ni Jux mtupu

Robot la Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
8,174
Reaction score
16,794
Wajuvu na wataalamu wa DNA kwa kutumia macho mnakubaliana na hawa wahuni??

Mwenye picha ya Jux atuwekee tufanye comparison



Uzi tayari


tapatalk_1739234075502.jpg
 
kabla ya kusema mtoto wa jux

tujiulize je na sisi tunafanana na baba zetu
Tena hakuna watu wanyonge kama wale wasiofanana na baba zao huku wakijua kabisa kuwa hawafanani na dingi yao, huwa wanatamani sana wawulize mama zao siri ya urembo!!
 
Back
Top Bottom