Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Wanawake wa siku hizi wanapenda vijana wa aina hii. Unaweza kuta huu uzi ameushusha baada ya kujadiliana na manzi ake.afu ww n mwanaume na una familia kabsa
mkeo anajua ana mume
mama anajua nna jembe
watoto wanajua wana baba
π€£
Ila kwakweli[emoji23][emoji23][emoji23] ila kweli
Mamako anajua ako na mchepukoooafu ww n mwanaume na una familia kabsa
mkeo anajua ana mume
mama anajua nna jembe
watoto wanajua wana baba
[emoji1787]
Kabla hujaitwa George nilipendekeza uitwa Grace mamako akakataaWanawake wa siku hizi wanapenda vijana wa aina hii. Unaweza kuta huu uzi ameushusha baada ya kujadiliana na manzi ake.
Au umekunywa captain Morgan?Huyu mtoto ni wa jux
πππKabla hujaitwa George nilipendekeza uitwa Grace mamako akakataa
Lips, masikio, komwe hii copy ya african boy kabisaWajuvu na wataalamu wa DNA kwa kutumia macho mnakubaliana na hawa wahuni??
Mwenye picha ya Jux atuwekee tufanye comparison
Uzi tayari
View attachment 3233639
Bado huko Tabata?[emoji23][emoji23][emoji23]
Alikataa kwasababu aliona ni jembe, mapumbu yananing'inia!
Chizi freshi wewe, ndio maana haujui kuandika!!!
Tuwekee picha ya Jux!!Lips, masikio, komwe hii copy ya african boy kabisa
Tena hakuna watu wanyonge kama wale wasiofanana na baba zao huku wakijua kabisa kuwa hawafanani na dingi yao, huwa wanatamani sana wawulize mama zao siri ya urembo!!kabla ya kusema mtoto wa jux
tujiulize je na sisi tunafanana na baba zetu