Ndio maana nikasema kama hujui uliza? ndondo ni bonanza? utachekwa.
Kuna bonanza gani watu wanalipa kiingilio kuiangalia na wanajaa kushinda hata mechi za ligi kuu?
halafu umagharibi usituharibu. Vya nyumbani tuvipende na kuvithamini pia.
Azam TV wanachojaribu ni kugusa kila eneo ili waburudishe kila aina ya wateja wake. Kama wewe unatakamani waonyeshe Kriketi wengine hizo ndondo wanatamani pia. Kwani zile mechi za pre season ziko kwenye kalenda ya Fifa au TFF mbona AzamTV wameonyesha.
Kwa watu walianza kuangalia ndondo tangu 1990's enzi zile za Lucky Rangers tunakushangaa sana.
Endelea kuamini unachoamini. Ila acha kudharau ndondo cup.
Ukisoma vizuri utaona ugomvi wangu ni Azam tv na kulipia kutazama
sina ugomvi na Ndondo cup...hasa kama ingeoneshwa bure tu kwa kupitia tbc au clouds tv na wengine
ugomvi wangu ni azam hd sports....
Kwa watu walianza kuangalia ndondo tangu 1990's enzi zile za Lucky Rangers tunakushangaa sana.
Yaani mtu kalipia king'amuzi cha Azam sports HD halafu mnaenda kumuonesha
'ndondo cup'?
seriously?
Hivi Azam wameshindwa hata kuonesha Kagame cup
halafu bila aibu mnaonesha NDONDO CUP?
Michuano ya kimtaani mtaani ambayo haipo hata ratiba ya TFF?
Michuano hiyo ni burudani zaidi kuliko mpira wa kweli..umaarufu wake ni wa vituko vya mashabiki tu.....Azam kama mko serious na mnataka kushindana na DStv
please stop this........
Baada ya Spanish La liga basi tuoneshe Africa club championship au tuonesheni ligi ya EGYPT yenye timu kama AL-ahly na Zamalek
kuna vitu vingi vya kuonesha vya afrika nzima na sio ndondo cup
Mnajiabisha saaana, so mediocre.
Elewa kinachozungumzwa
mtu akienda kutazama ndondo cup hakuna tatizo
hapa tunazungumzia big sports evnts za mtu kulipia tv kutazama...
hiyo miaka ya 90 kulikuwa na tv mnalipia kutazama ndondo cup?
Kwa watu walianza kuangalia ndondo tangu 1990's enzi zile za Lucky Rangers tunakushangaa sana.
Sifa united
Faru dume
Fc cologne ya vungunguti