lun JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 667 Reaction score 743 Feb 18, 2018 #1 Bila kupoteza muda wakati watoto wa tulia wala maparachichi wakipigwa nani atakuwa bingwa mbele ya rais wa FIFA Mimi mzigo wangu naweka kwa goms united!!! Weka na wewe utabiri wako karibuni wana JF
Bila kupoteza muda wakati watoto wa tulia wala maparachichi wakipigwa nani atakuwa bingwa mbele ya rais wa FIFA Mimi mzigo wangu naweka kwa goms united!!! Weka na wewe utabiri wako karibuni wana JF
barafuyamoto JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 32,378 Reaction score 29,739 Feb 18, 2018 #2 Itezi anabeba saa kumi na moja mapemaaaaa.
lun JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 667 Reaction score 743 Feb 18, 2018 Thread starter #3 barafuyamoto said: Itezi anabeba saa kumi na moja mapemaaaaa. Click to expand... Anabeba nini mkuu mitumba ya karume?
barafuyamoto said: Itezi anabeba saa kumi na moja mapemaaaaa. Click to expand... Anabeba nini mkuu mitumba ya karume?
lun JF-Expert Member Joined Nov 18, 2017 Posts 667 Reaction score 743 Feb 18, 2018 Thread starter #4 Itezi washapigwa tayari na gomz
barafuyamoto JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 32,378 Reaction score 29,739 Feb 18, 2018 #5 lun said: Anabeba nini mkuu mitumba ya karume? Click to expand... Kwani uzi wako unahusu mitumba?
barafuyamoto JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 32,378 Reaction score 29,739 Feb 18, 2018 #6 lun said: Itezi washapigwa tayari na gomz Click to expand... Ngapi? Kwani kiputa saa ngapi?