Ndondo ni bora kuliko TP Mazembe? Tunasafari ndefu sana kwa wachezaji wetu wa Kibongo

Ndondo ni bora kuliko TP Mazembe? Tunasafari ndefu sana kwa wachezaji wetu wa Kibongo

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919
Ibrahim Ajib akipiga Ndondo Kawe.
1123159
 
Kama timu yake hailipi wachezaji mishahara unategemea jamaa ataishije...wacha apige ndondo apate hela ya kula
 
Angalau apate hata ka hela ka kula,pale bwawa la jangwani hata hawalipwi stahiki zao,,
 
Kama timu yake hailipi wachezaji mishahara unategemea jamaa ataishije...wacha apige ndondo apate hela ya kula
Mo anawakopesha nyie mnachekelea, siku moja mtamuelewa Mzee Kilomoni na Bi Hindu
 
Back
Top Bottom