Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ujinga mtupu, kwa profile ya Ajibu kucheza mutaani ni kutojitambua,what if akipata injury?Hapa ndipo CV zao zinashuka, mameneja wao sijui wana kazi gani
Kumanage mtu asiyesoma halafu mbishi kupitiliza ni kazi sanaHapa ndipo CV zao zinashuka, mameneja wao sijui wana kazi gani
Hapa Lowassa alikuwa sahihiKumanage mtu asiyesoma halafu mbishi kupitiliza ni kazi sana
ExactlyHapa Lowassa alikuwa sahihi
Elimu Elimu Elimu Elimu
Timu gani? Huyo nimchezaji huru acha kukariri hatumdai,hatudaiKama timu yake hailipi wachezaji mishahara unategemea jamaa ataishije...wacha apige ndondo apate hela ya kula
Kamaliza mkataba na yanga lini???huyo bado ni mchezaji wenu....lipeni watu mishahara...mtawaua njaaTimu gani? Huyo nimchezaji huru acha kukariri hatumdai,hatudai
Kama hujui kaa kimya siyo uropoka ropoka tu kama umevuta ugoroKamaliza mkataba na yanga lini???huyo bado ni mchezaji wenu....lipeni watu mishahara...mtawaua njaa
Hakuna anayeidai Yanga,ila kachukue hati kwa Mzee KilomoniAngalau apate hata ka hela ka kula,pale bwawa la jangwani hata hawalipwi stahiki zao,,
Mo anawakopesha nyie mnachekelea, siku moja mtamuelewa Mzee Kilomoni na Bi HinduKama timu yake hailipi wachezaji mishahara unategemea jamaa ataishije...wacha apige ndondo apate hela ya kula
Ujuaji mwingihivi mbona hawajifunzi kwa bwana mdogo samagoal
Mo anawakopesha nyie mnachekelea, siku moja mtamuelewa Mzee Kilomoni na Bi Hindu
Labda KMC siyo Yangatehe,,,tehe,,haaa,,,haya bwana mtani wangu wa viti maalum,
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
Nikweli mkuu, baada ya miguu kuanza kugoma na kaishiwa wanaanza kuomba misaada kupitia vyombo vya HabariKupanga ni kuchagua.
Na muda ni mwalimu mzuri sana.