Anawania tuzo ya mwanamichezo bora badala aweke point alizonazo simba na yanga Caf champions league ili twende sawaHuyu jamaa ukute kuna mzazi sehemu anajisifia kwamba amezaa jembe..[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Ni mbwiga fulani hivi..anaona kuanzisha nyuzi humu watu wanalipwaAnawania tuzo ya mwanamichezo bora badala aweke point alizonazo simba na yanga Caf champions league ili twende sawa
JIKITE KWENYE HOJA.Hapa ndipo Mungu alipoonesha ufundi wake katika uumbaji.
Akasema , wajinga (hamnazo) wote shabikieni Yanga na ikawa hivyo kweli.
Acha kuwa mjinga kwa jambo lililo wazi hata mwakani wakichukua team kila kanda simba itashiriki tena kwenye kanda yetu africa mashariki ,inaongoza kwenye ranking .Baada ya mchezo wa shield community (ngao) Simba sc walichukua taji.
Kwenye interview walisema "huu ni mwanzo mzuri tumefungua msimu vizuri na siku zote atakayechukua kombe hili huwa anachukua kombe la ligi"
Simba sc walipata Dondokela ya African league (AFL) yalikuja maneno mengi sana ikiwepo moja ya ndoto zao ni kuchukua kombe la AFL pasipo kujali kuwa hiyo ilikuwa ni Dondokela tu kwa Simba SC.
Baada ya kutoka Kapa kwenye michuano ya AFL walirudi kwenye ligi Wakiwa na matumaini ya kuchukua kombe la Nbcpl.
Baada kudondosha point kwa mtani wao Yanga Sc, na point mbili muhimu kwa Namungo pamoja na KMC, matumaini ya kuchukua kombe lolote ndani Yamefutika kabisa.
Sasa ndoto zimehamia kushiriki klabu bingwa Dunia FIFA na hapo ni tia maji tia maji maana kwenye michuano ya Klabu bingwa Africa Simba sc Ina Hali mbaya haijui mwisho wake utaisha vipi?!
Maoni Yangu: Upepo wa klabu bingwa Dunia FIFA upo ili KUBADILI Kelele na kuaipoza mashabiki wasipige kelele juu za timu Yao yenye mwenendo mbovu huo ndiyo ukweli usiopingika.
Hawezi kukuelewa labda umpigie madebe masikioni.Acha kuwa mjinga kwa jambo lililo wazi hata mwakani wakichukua team kila kanda simba itashiriki tena kwenye kanda yetu africa mashariki ,inaongoza kwenye ranking .
We jamaa una shida mahali .Baada ya mchezo wa shield community (ngao) Simba sc walichukua taji.
Kwenye interview walisema "huu ni mwanzo mzuri tumefungua msimu vizuri na siku zote atakayechukua kombe hili huwa anachukua kombe la ligi"
Simba sc walipata Dondokela ya African league (AFL) yalikuja maneno mengi sana ikiwepo moja ya ndoto zao ni kuchukua kombe la AFL pasipo kujali kuwa hiyo ilikuwa ni Dondokela tu kwa Simba SC.
Baada ya kutoka Kapa kwenye michuano ya AFL walirudi kwenye ligi Wakiwa na matumaini ya kuchukua kombe la Nbcpl.
Baada kudondosha point kwa mtani wao Yanga Sc, na point mbili muhimu kwa Namungo pamoja na KMC, matumaini ya kuchukua kombe lolote ndani Yamefutika kabisa.
Sasa ndoto zimehamia kushiriki klabu bingwa Dunia FIFA na hapo ni tia maji tia maji maana kwenye michuano ya Klabu bingwa Africa Simba sc Ina Hali mbaya haijui mwisho wake utaisha vipi?!
Maoni Yangu: Upepo wa klabu bingwa Dunia FIFA upo ili KUBADILI Kelele na kuaipoza mashabiki wasipige kelele juu za timu Yao yenye mwenendo mbovu huo ndiyo ukweli usiopingika.
POLE SANA AYUBU FCKwa hiyo Simba kupoteza mechi moja na kutoa sare mechi mbili amepoteza matumaini ya ubingwa. Du kweli mwiko nyuma umekubana kisawa sawa.Titizo lenu ni wivu tu Simba alipokuwa anakusanya points rais wenu alikuwa anavaa jersey za timu pinzani,Sasa badala ya kujitahidi mfike hata robo mpate point nyingi mmekalia majungu.na msimu unaokuja hamfiki makundi mpaka 2038.