Nimeota ndoto ccm wamekubali kuwe kunafanyika mdahalo kwa masharti yafuatayo:-
3. Kusiwe na maswali ya papo kwa papo maswali yoote yaletwe kwa muhusika siku moja kabla ya mdahalo, na hata kama italazimika kuwepo kwa maswali ya papo kwa papo, hairuhusiwi kuuliza maswali yanayo kosoa uongozi uliopita maana huatarisha amani tuliyoizoea.
Nimeota ndoto ccm wamekubali kuwe kunafanyika mdahalo kwa masharti yafuatayo:-
1. Wanaotakiwa kuhudhulia wawe ni wazee wa dar es salaam tu, hataruhusiwa kijana au mtu yeyote asiyeogopa mabadiriko.
2. Mdahalo usirushwe hewani, mpaka usarama wa taifa wa uhariri kwanza.
3. Kusiwe na maswali ya papo kwa papo maswali yoote yaletwe kwa muhusika siku moja kabla ya mdahalo, na hata kama italazimika kuwepo kwa maswali ya papo kwa papo, hairuhusiwi kuuliza maswali yanayo kosoa uongozi uliopita maana huatarisha amani tuliyoizoea.
Mkuu ezan.
Mkuu wewe utakuwa pacha wangu nini ?.
Ndoto yako ya kijinga
Eheheheeeeeeh na wewe umeota ndoto kama hiyo?
Mkuu ezan.
Mkuu wewe utakuwa pacha wangu nini ?.
He he he heeeeee! Ati ndoto ni ya kijinga, Aotaye mema ya wengi anawatakia wengi mema, huenda ni mjinga lakini hata Mungu alimtumia Punda kumwonya mfalme kwenye misahafu baada ya kuona mfalme ni mjinga zaidi ya punda, te te te te teeeee!
CCM wasome maandishi ukutani kujua nyakati za sasa zikoje, anyway, they will be too late being long dragged by Mshambaa as he likes, he he he he heeee! Hureee ndoto! Ujumbe wa Mungu unaweza kuja kwa njia ya ndoto, sio mara moja watu wameokoka kwa kujiwa ndotoni na kutambua uhuni hauna nafasi tena. Du!
Ndoto yako ya kijinga
Mkuu naona ujumbe wake umekupita pembeni . ... hujalielewa kabisa bandiko lake.
He he he heeeeee! Ati ndoto ni ya kijinga, Aotaye mema ya wengi anawatakia wengi mema, huenda ni mjinga lakini hata Mungu alimtumia Punda kumwonya mfalme kwenye misahafu baada ya kuona mfalme ni mjinga zaidi ya punda, te te te te teeeee!
CCM wasome maandishi ukutani kujua nyakati za sasa zikoje, anyway, they will be too late being long dragged by Mshambaa as he likes, he he he he heeee! Hureee ndoto! Ujumbe wa Mungu unaweza kuja kwa njia ya ndoto, sio mara moja watu wameokoka kwa kujiwa ndotoni na kutambua uhuni hauna nafasi tena. Du!